Kwanini uvumilivu umepungua kwa kasi sana

Kwanini uvumilivu umepungua kwa kasi sana

Attack

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2022
Posts
894
Reaction score
1,608
God is good,

Kila unapotoka kwenye kizazi kimoja kwenda kizazi kingine UVUMILIVU unapungua sana, nini shida?

Unakuta kijana wa miaka 20 amekata tamaa kabisa!

27 Siku zote za Methusela ni miaka mia kenda na sitini na kenda, akafa.

Mwanzo 5:27
Sasa kama Methusela aliishi miaka 969 tukipewa fursa ya kuishi Kwa miaka hii tutafika?

Kama miaka 25 tu mtu anajinyonga je akipewa 969?

Mtu anamiaka 12 analalamika kuwa Yesu amechelewa!

Watu wengi wameingia kwenye Madeni makubwa Kwa sababu yakutotaka kusubili, unataka usome leo, upate kazi leo, ujenge, ununue gari leo..

My take
Learn to be patient...
 
Learn to be patient...
Nothing is guarateed in life and everything can change in a blink of an eye. You can be as patient as a diamond; and unfortunately this doesn't guarantee you anything. In some extreme instances, it is better to quit than keep going while knowing that the road you are on won't take you anywhere.

A real man must know his limitations i.e know when to quit!
 
God is good,

Kila unapotoka kwenye kizazi kimoja kwenda kizazi kingine UVUMILIVU unapungua sana, nini shida?

Unakuta kijana wa miaka 20 amekata tamaa kabisa!

27 Siku zote za Methusela ni miaka mia kenda na sitini na kenda, akafa.

Mwanzo 5:27
Sasa kama Methusela aliishi miaka 969 tukipewa fursa ya kuishi Kwa miaka hii tutafika?

Kama miaka 25 tu mtu anajinyonga je akipewa 969?

Mtu anamiaka 12 analalamika kuwa Yesu amechelewa!

Watu wengi wameingia kwenye Madeni makubwa Kwa sababu yakutotaka kusubili, unataka usome leo, upate kazi leo, ujenge, ununue gari leo..

My take
Learn to be patient...
Upoyoyo umezidi mno siku hizi na siku zijazo vijana wengi watakuwa wakitamani kufa kuliko kuishi. Haya mabadiliko ya utamaduni yana taabu zake.
 
Maisha ya zamani ni tofauti na Sasa.. matumizi ya pesa yamekuwa makubwa mno katika Kila kitu pesa inahitajika na kinachoumiza pesa yenyewe ni ngumu kuipata kwa Nini vijana wadogo wasikate tamaa
Mkuu umesema ukweli yan kila kitu n pesa saiv.una hela uoi au uwez kuwa na Demu.
 
God is good,

Kila unapotoka kwenye kizazi kimoja kwenda kizazi kingine UVUMILIVU unapungua sana, nini shida?

Unakuta kijana wa miaka 20 amekata tamaa kabisa!

27 Siku zote za Methusela ni miaka mia kenda na sitini na kenda, akafa.

Mwanzo 5:27
Sasa kama Methusela aliishi miaka 969 tukipewa fursa ya kuishi Kwa miaka hii tutafika?

Kama miaka 25 tu mtu anajinyonga je akipewa 969?

Mtu anamiaka 12 analalamika kuwa Yesu amechelewa!

Watu wengi wameingia kwenye Madeni makubwa Kwa sababu yakutotaka kusubili, unataka usome leo, upate kazi leo, ujenge, ununue gari leo..

My take
Learn to be patient...
[emoji7]
 
Maisha yanakwenda kasi sana....

Haswa kwa hawa wadogo zetu waliozaliwa 2000's....

Hawana subira hata ya KUPISHANA vyema vichochoroni...unaweza kupigwa kumbo bila hata ya ubinadaamu...

Juzi nilipishana na dogo miaka 21 hivi ananijia "wanguwangu" kama "gegereka" na kunigonga kifuani....nikamuuliza "dogo vipi mbona njia ni pana"... majibu aliyoninijibu nilimwangalia sana tu.....

Yaani kwa jinsi umbo langu lilivyo kubwa hakujali kunitolea majibu...mtu mwenyewe alikuwa ananifikia kiunoni [emoji1787]

Dogo aliongea maneno magumu mno na kama si subira ya sisi wakubwa zake hakika ningeweza KUMVUNJA nyonga [emoji1787]

Subira ni muhimu mno maishani WADOGO ZETU...

Hebu vuteni pumzi na kuiangalia dunia kwa upendo na mkubali changamoto zake...

Uliberali haubadilishi CHANIKIWITI na UKIJANI wa UOTO ASILI ,majani na miti...

Tafakarini

#Subirini Subira Njema[emoji7]
#Mwenyezi Mungu Ni Mwema Siku zote[emoji7]
 
Back
Top Bottom