Kwanini uwanja wa ndege wa Julius Nyerere haukujengwa maeneo ya watu wa kipato cha juu kama ilivyojengwa Mlimani City Mall?

Kwanini uwanja wa ndege wa Julius Nyerere haukujengwa maeneo ya watu wa kipato cha juu kama ilivyojengwa Mlimani City Mall?

Thomas Brown

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2025
Posts
344
Reaction score
856
Swali kwa watu wa mipango miji. Wilaya mama za mkoa wa Dar Es Salaam zipo tatu;

(1) Kinondoni (high income)
(2) Ilala (middle income)
(3) Temeke (low income)

Kwanini uwanja wa ndege haukujengwa hata huko Mbezi, Boko, Bunju ili iwe rahisi kwa watu wanaomudu gharama za hizo ndege (high income) kuweza kufika uwanjani kwa haraka zaidi na badala yake wakaamua kuuweka kwa walalahoi wa Karakata na Yombo?

ANGALIZO: Sina lengo la kufanyia dhihaka kundi lolote la watu, I'm just asking..
 
Swali kwa watu wa mipango miji. Wilaya mama za mkoa wa Dar Es Salaam zipo tatu;

(1) Kinondoni (high income)
(2) Ilala (middle income)
(3) Temeke (low income)

Kwanini uwanja wa ndege haukujengwa hata huko Mbezi, Boko, Bunju ili iwe rahisi kwa watu wanaomudu gharama za hizo ndege (high income) kuweza kufika uwanjani kwa haraka zaidi na badala yake wakaamua kuuweka kwa walalahoi wa Karakata na Yombo?

ANGALIZO: Sina lengo la kufanyia dhihaka kundi lolote la watu, I'm just asking..
Udsm iondolewe waweke uwanja wandege kweli?
 
Swali kwa watu wa mipango miji. Wilaya mama za mkoa wa Dar Es Salaam zipo tatu;

(1) Kinondoni (high income)
(2) Ilala (middle income)
(3) Temeke (low income)

Kwanini uwanja wa ndege haukujengwa hata huko Mbezi, Boko, Bunju ili iwe rahisi kwa watu wanaomudu gharama za hizo ndege (high income) kuweza kufika uwanjani kwa haraka zaidi na badala yake wakaamua kuuweka kwa walalahoi wa Karakata na Yombo?

ANGALIZO: Sina lengo la kufanyia dhihaka kundi lolote la watu, I'm just asking..
Nadhani huelewi kuwa wahindi wanahold zaidi ya 70% ya uchumi wa nchi hii na wengi wanaishi Ilala
 
Swali kwa watu wa mipango miji. Wilaya mama za mkoa wa Dar Es Salaam zipo tatu;

(1) Kinondoni (high income)
(2) Ilala (middle income)
(3) Temeke (low income)

Kwanini uwanja wa ndege haukujengwa hata huko Mbezi, Boko, Bunju ili iwe rahisi kwa watu wanaomudu gharama za hizo ndege (high income) kuweza kufika uwanjani kwa haraka zaidi na badala yake wakaamua kuuweka kwa walalahoi wa Karakata na Yombo?

ANGALIZO: Sina lengo la kufanyia dhihaka kundi lolote la watu, I'm just asking..
Ili wapigiwe kelele?Kelele na vurugu ni kwa ajili ya akina kalumekenge na Mwajuma-takomoja.
 
Enzi hizo uwanja wa ndege unajengwa. Temeke ilikuwa ndo sehem ya high income na ikiwa karibu na bandari pamoja na city centre. Kipind hicho maeneo mengi ya kinondoni, mbezi beach, tegeta, kimara, goba yalikuwa mapori pori yasikuwa na watu wala hamna aliyejuwa yatakuja kuwa na potential yaliyonayo sasa hv.
Pia eneo ulipo uwanja wa ndege ni highland flat plateau yenye urefu mkubwa tambarare tofauti na maeneo mengine ya mji wa dar es salaam yenye jigrafia ya milima, ndo maana toka enzi za mkoloni hilo ndo eneo lilikiwa proposed kujenga Airways/ airport kubwa yenye hadhi ya kimataifa.
 
Swali kwa watu wa mipango miji. Wilaya mama za mkoa wa Dar Es Salaam zipo tatu;

(1) Kinondoni (high income)
(2) Ilala (middle income)
(3) Temeke (low income)

Kwanini uwanja wa ndege haukujengwa hata huko Mbezi, Boko, Bunju ili iwe rahisi kwa watu wanaomudu gharama za hizo ndege (high income) kuweza kufika uwanjani kwa haraka zaidi na badala yake wakaamua kuuweka kwa walalahoi wa Karakata na Yombo?

ANGALIZO: Sina lengo la kufanyia dhihaka kundi lolote la watu, I'm just asking..
Ukiwa katika Ndege juu, ukianza kuangalia nyuma zilizopita pembezoni ya Uwanja unaweza dhani ni kajiji kaliopo tabora kumbe ni Dar es salaam 😁😁

Serikalini ifanye namna watu wa mipango miji Aibu hii
 
Back
Top Bottom