Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
UmemalizaPia eneo ulipo uwanja wa ndege ni highland flat plateau yenye urefu mkubwa tambarare tofauti na maeneo mengine ya mji wa dar es salaam yenye jigrafia ya milima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmemalizaPia eneo ulipo uwanja wa ndege ni highland flat plateau yenye urefu mkubwa tambarare tofauti na maeneo mengine ya mji wa dar es salaam yenye jigrafia ya milima
Kama suala ni wengi, higher incomes wengi ni wabantu na wakaishi Wilaya ya Kino..Unajua maana ya wengi?,au we unadhani MO ndo mhindi mwenye pesa.kwa taarifa yako wahindi wanamuona MO kama mswahili tu.
Inawezekana bado mdogo au hujui uchumi wa hii nchi.kasome kwanza.Kama suala ni wengi, higher incomes wengi ni wabantu na wakaishi Wilaya ya Kino..
Umekunywa chai lakini?? Nisiwe ninabishana na mtu kumbe ana njaa..Inawezekana bado mdogo au hujui uchumi wa hii nchi.kasome kwanza.
Wilaya za Ubungo na Kigamboni hizi ni Wilaya za watoto wa 2000Ubungo ni wilaya ya Ubungo mkuu, pia Kigamboni ni wilaya ya Kigamboni. Jamaa ametaka income ya Ubungo sasa
Na hizi takwimu za economy kuwa Kinondoni ni high kuliko ilala ni za miaka gani mkuu?Wilaya za Ubungo na Kinondoni hizi ni Wilaya za watoto wa 2000
Hapo juu nilimaanisha Kigamboni na sio Kinondoni..Na hizi takwimu za economy kuwa Kinondoni ni high kuliko ilala ni za miaka gani mkuu?
Highest income earners wanaishi wapi mkuu kama sio Oyster Bay, Masaki, Mbezi Beach, Ununio, Mbweni, Kamwe, Gomba, Mbezi Luis.Na hizi takwimu za economy kuwa Kinondoni ni high kuliko ilala ni za miaka gani mkuu?
Mkuu utakuwa uelewa wako ni mdogo. Kiwanja cha ndege hakijengwi popote pale. Kuna sehemu maalum ambazo wataalam wa anga hujenga viwanja.Swali kwa watu wa mipango miji. Wilaya mama za mkoa wa Dar Es Salaam zipo tatu;
(1) Kinondoni (high income)
(2) Ilala (middle income)
(3) Temeke (low income)
Kwanini uwanja wa ndege haukujengwa hata huko Mbezi, Boko, Bunju ili iwe rahisi kwa watu wanaomudu gharama za hizo ndege (high income) kuweza kufika uwanjani kwa haraka zaidi na badala yake wakaamua kuuweka kwa walalahoi wa Karakata na Yombo?
ANGALIZO: Sina lengo la kufanyia dhihaka kundi lolote la watu, I'm just asking..
Wewe una uelewa wa kila kitu hapa duniani?Mkuu utakuwa uelewa wako ni mdogo. Kiwanja cha ndege hakijengwi popote pale. Kuna sehemu maalum ambazo wataalam wa anga hujenga viwanja.
Hii point ya kweli kabisa. Ama wazee wenyewe walikataa hizo kelele za midege, pia airport sio sehemu salama wakati wa machafuko na sio sehemu tulivu kwa sababu ya mishe nyingiWamesema hawakutaka kuwapigia makelele wazee vigogo.
Jibu hoja..Ndege sio dalalala
Unazungumzia walipwa mshahara!?..mlipwa mshahara hawezi kuwa high income earnerHighest income earners wanaishi wapi mkuu kama sio Oyster Bay, Masaki, Mbezi Beach, Ununio, Mbweni, Kamwe, Gomba, Mbezi Luis.
Na hizo zote zipo katika Wilaya gani kama sio Kinondoni??..
Hapo mlimani city,sinza palikua majaruba tu,chuo kikuu simba walikua kibao wakati uwanja unajengwaHii point ya kweli kabisa. Ama wazee wenyewe walikataa hizo kelele za midege, pia airport sio sehemu salama wakati wa machafuko na sio sehemu tulivu kwa sababu ya mishe nyingi
Anayelipwa 5 millions per month na anayeingiza 3 millions per month kama faida ya biashara zake, ni nani higher income earner?Unazungumzia walipwa mshahara!?..mlipwa mshahara hawezi kuwa high income earner
5millions after tax,nsssf,psssf,nhif,income tax au?..halafu kwenye biashara income siyo constantAnayelipwa 5 millions per month na anayeingiza 3 millions per month kama faida ya biashara zake, ni nani higher income earner?