Kwanini uwanja wa ndege wa Julius Nyerere haukujengwa maeneo ya watu wa kipato cha juu kama ilivyojengwa Mlimani City Mall?

Kwanini uwanja wa ndege wa Julius Nyerere haukujengwa maeneo ya watu wa kipato cha juu kama ilivyojengwa Mlimani City Mall?

Pia eneo ulipo uwanja wa ndege ni highland flat plateau yenye urefu mkubwa tambarare tofauti na maeneo mengine ya mji wa dar es salaam yenye jigrafia ya milima
Umemaliza
 
Unajua maana ya wengi?,au we unadhani MO ndo mhindi mwenye pesa.kwa taarifa yako wahindi wanamuona MO kama mswahili tu.
Kama suala ni wengi, higher incomes wengi ni wabantu na wakaishi Wilaya ya Kino..
 
Raia ndiyo wamevamia gongo la mboto, ila palikua ni nje ya mji, eneo kubwa na kwa ajili ya shughuli za kijeshi...


Cc: Mahondaw
 
Na hizi takwimu za economy kuwa Kinondoni ni high kuliko ilala ni za miaka gani mkuu?
Highest income earners wanaishi wapi mkuu kama sio Oyster Bay, Masaki, Mbezi Beach, Ununio, Mbweni, Kamwe, Gomba, Mbezi Luis.

Na hizo zote zipo katika Wilaya gani kama sio Kinondoni??..
 
Swali kwa watu wa mipango miji. Wilaya mama za mkoa wa Dar Es Salaam zipo tatu;

(1) Kinondoni (high income)
(2) Ilala (middle income)
(3) Temeke (low income)

Kwanini uwanja wa ndege haukujengwa hata huko Mbezi, Boko, Bunju ili iwe rahisi kwa watu wanaomudu gharama za hizo ndege (high income) kuweza kufika uwanjani kwa haraka zaidi na badala yake wakaamua kuuweka kwa walalahoi wa Karakata na Yombo?

ANGALIZO: Sina lengo la kufanyia dhihaka kundi lolote la watu, I'm just asking..
Mkuu utakuwa uelewa wako ni mdogo. Kiwanja cha ndege hakijengwi popote pale. Kuna sehemu maalum ambazo wataalam wa anga hujenga viwanja.
 
Wamesema hawakutaka kuwapigia makelele wazee vigogo.
Hii point ya kweli kabisa. Ama wazee wenyewe walikataa hizo kelele za midege, pia airport sio sehemu salama wakati wa machafuko na sio sehemu tulivu kwa sababu ya mishe nyingi
 
Hii point ya kweli kabisa. Ama wazee wenyewe walikataa hizo kelele za midege, pia airport sio sehemu salama wakati wa machafuko na sio sehemu tulivu kwa sababu ya mishe nyingi
Hapo mlimani city,sinza palikua majaruba tu,chuo kikuu simba walikua kibao wakati uwanja unajengwa
 
Back
Top Bottom