Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Rubbish
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli tupu hapo anatafuta maslahi yake basiKwenye siasa hakuna cha down to earth. Hapo anawaza jinsi atakavyo piga hela baada ya kushinda au kutafuta ubunge au cheo baada ya kushinda 😂😂😂
Usijidanganye na wanasiasa. Wewe unajua chanzo chake cha mapato ni kipi? Pesa anayoitumia hapo kwenye kampeni atairudishaje? 😂😂😂
Jiongeze!
Dah mkuu. Like seriously?Nasikitika kusema Victoria hawezi kushinda ile mvua liwe jua
Acha uongo mnafiki namdini wewe ndio maana mmejazana Waislamu kuanzia uenyekiti hadi umakamu mnataka Mwislamu tena hiki sio chama cha dini moja bali wote.Hafai huyu mama ,my girl at UDSM back then in 2014.
Mkimchagua huyu mtajuta,mkatili ,mbinafsi,mbaguzi kujiona mzungu kisa mama yake ni anatokea kwa Putin.
Sifa mbaya zaidi ni kutotulia atawaketea kashfa ya ngono chamani.yuko tayari kutumia mwili wake kufanikisha jambo lake.
Tuliosoma nae tunamjua
Hawezi kushinda kwa kuwa ni Mkisto.Nasikitika kusema Victoria hawezi kushinda ile mvua liwe jua
Hafai huyu mama ,my girl at UDSM back then in 2014.
Mkimchagua huyu mtajuta,mkatili ,mbinafsi,mbaguzi kujiona mzungu kisa mama yake ni anatokea kwa Putin.
Sifa mbaya zaidi ni kutotulia atawaketea kashfa ya ngono chamani.yuko tayari kutumia mwili wake kufanikisha jambo lake.
Tuliosoma nae tunamjua
Nasikitika kusema Victoria hawezi kushinda ile mvua liwe jua
Lini uchaguzi?Atashinda tena kwa kishindo.
Ndio mnastuka saa hizi? Mshapigwa tatu bila wana parokia.Acha uongo mnafiki namdini wewe ndio maana mmejazana Waislamu kuanzia uenyekiti hadi umakamu mnataka Mwislamu tena hiki sio chama cha dini moja bali wote.
Nipo tayari kumchagua. Ila lazima mtoe kitu kidogo. Maana ninatambua fika, hakuna kura za bure ndani ya ccm.Hakika Sasa Jumuiya ya Vijana inakwenda kupata Viongozi Makini na wenye uwezo Mkubwa katika Kuwasemea Vijana na kutengeneza Fursa Mbalimbali kwa Vijana wote bila kujali itikadi za vyama vyetu. Bila Shaka yoyote VICTORIA C MWANZIVA MGOMBEA NAFASI YA MAKAMU MWENYEKITI UVCCM TAIFA Ndio Chaguo Sahihi kwa Maendeleo ya Vijana Nchini ndani ya Chama na Nje ya Chama.
Jamaa anampigia debe la maanaUvccm ni machawa tangu lini Uvccm ikawa na kiongozi mwenye akili?
Galafu mkiishapata hizo nafsi mnaanza kutumika kutisha wenye Mawazo tofauti ndani ya Chama!Ndugu Mjumbe wa Mkutano Mkuu UVCCM Taifa- kwa unyenyekevu mkubwa ninakuomba unishike mkono; ninaomba kura yako ya ndio kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa
#VictoriaMwanziva
#UongoziShirikishi