Kwanini video za nyimbo za Davido zina views chache?

View nyingi zinampa jeuri diamond hadi kumkashifu Rick Ross kwamba amemzidi views lakini ukiangalia Rozay hadi Pakistan wanamjua,yeye anajulikana Magubike tu.
umeonA eeeh! viewers ni kama mimi hapa nimepita youtube nimeona song la mwanafa nimelick but after 25 seconds nimeliona baya nikaamua kukancel na kuendelea na mambo yangu. wabongo muache kuchanganyikiwa na viwers
 
Kabla sijakuita MUONGO...
Unamzungumzia J Cole yupi..!?
Huyu hapa chini..?

Au J Cole yule mchezaji wa zamani wa Chelsea FC..?
 
View nyingi zinampa jeuri diamond hadi kumkashifu Rick Ross kwamba amemzidi views lakini ukiangalia Rozay hadi Pakistan wanamjua,yeye anajulikana Magubike tu.
Hahahahaaaaa....Magubike itakuwa maeneo flan ya gairo
 
View nyingi zinampa jeuri diamond hadi kumkashifu Rick Ross kwamba amemzidi views lakini ukiangalia Rozay hadi Pakistan wanamjua,yeye anajulikana Magubike tu.
Natamani kufahamu ni wapi Diamond amemkashifu Rick Ross. Tusaidie hata clip basi.
 
Hahaha eti au Diamond kamloga! Hivi Diamond ni mchawi sana eenhe?
 
Itakuwa management ya mond inamwibia viewers kijanja kwenye mtandao si bure
 
A.K.A na Casper Vyovest Hawana View nyingi kama Diamond ila ni Mabilionea kwenye Rand...Mkuu Views zisikuumize kichwa
 
Bongo mnanchekesha sana kwenye swala la views, kaangalie work ya rihanna ilivobamba mwaka huu lakin hata billion moja haijafka, afu check WORK FROM HOME ya fifth harmony ina more than one billion views na Nina uhakika watu wengi hapa bongo hamujui.

Swala LA views ni kwa namna gani mashabiki wako wanajituma kuangalia uo wimbo make kila ukirefresh utube INA count kama view nyingne
 
A.K.A na Casper Vyovest Hawana View nyingi kama Diamond ila ni Mabilionea kwenye Rand...Mkuu Views zisikuumize kichwa
walianza kutafuta maisha kabla
halafu hela yao sio kama yetu...

utuwekee basi na huo ubilionea kiasi gani tuone[emoji12]
 
viewers wana faida yake, tena kubwa sana..
sio kwamba hakuna msanii asietaka viewers wengi kwenye video yake kwa namna moja ama nyingine..

huwezi kufananisha ukubwa wa diamond na tunda man hata bila kuwajua.
ukaingia u tube ukaangalia tu video zao mbili za mwaka juzi hapo ndo utajua viewers ni nini..
viewers wanalipa
viewers ni fans
viewers wanaonyesha ukubwa na kukubalika kwa msanii ama muziki/video
 
Mkuu unamZugumzia j.cole huyu huyu ambaye ukisikiliza album zke unatamani nyimbo zote uzi rewind au mwingine ww itakuwa una angalia video zke kwny channel zigine n sio official channel yke
 

Attachments

  • 1476795892361.jpg
    16.6 KB · Views: 40
nyota ya davido ishafifia..saiv ni zamu ya damu mya kama kina tecno miles
 
Natamani kufahamu ni wapi Diamond amemkashifu Rick Ross. Tusaidie hata clip basi.
Kuna Youtube Channel ya DJLilOmmy WA Times Fm itafute uisikie mwenyewe akifanya nae interview jaymos flan hivi tarehe uno 2weeks ago.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…