Kwanini vijana wa Dar hukosa wasichana wakija mikoani

Kwanini vijana wa Dar hukosa wasichana wakija mikoani

We ndez kweli ww na utafiti wako !!
Mbna dada zenu huwa wanatutakaga wenyewe wakiona tu jamaa ni borntown... Na tunawaoa sana tu!!
 
Hii chuki hii ya wanaume wa mikoani dhidi ya WaDar naona inaxid kukua!!!
Inaonekana wanaume wa Dar mnawashughulikia sana dada zao wa mikoani wanaoshoboka kiasi cha wanaume zao kuleta bifu mpk kwenye threads km hv!!

Na tutawakazieni sana dada zenu wa mikoani hahaha
 
Dunia ya leo bado unapoteza muda kutongoza demu? Mwanamke kama anakutaka siku hizi havungi. Akikukataa endelea na maisha mengine. Halafu kumtaka demu kuna mengi. Kuna wa kupiga na kuna wa kuoa. Wa kuoa unaweza somesha muda kidogo. Wa kupiga unalipa unakula unasepa. Unaendelea na maisha mengine
 
Unajua kwa nini vijana wa dar wanapo kuja mikoani huwa ni vigumu sana kupata wasicha.. Na vijana wa mikoani wakifika dar huopoa wadada wa pale kiuraiiiini....? Ipo hivi

Ni mala chache saana kwa vijana wazawa wa dar kuskia anampenzi pamanent. Wengi wao wanapokuwaga na genye utamkuta pale zakhem mbagala uwanja wa fisi na maeneo mengine meeengi yasiyo na idadi ambayo machangudoa hupatikana hapo haina kujiekeza ni kupiga mzigo fasta na kutoa malipo

Kwa hali hiyo vijana wengi wa dar hujikuta hawawezi kujieleza mbele ya mwanamke ambaye wanajua wazi hajiuzi
.hill huwapa taabu tabu saana vijana wa dar wanápofika katika mikoa ambayo biashara za ngono ni nadra saana wengie wao hujikuta wamekuwa waraibu wa nyeto

Maelezo hayo ni kinyume cha vijana wa mikoani ambao ndio wengi wao wana wamiliki wadada wa dar wasio jiuza

Ukweli usiwaume Bali uwape funzo
nchi yetu inamatatizo mengi katika kipindi hichi, sio vizuri mtu mzima kuleta story za ujinga na upumbavu. nenda katafute pesa na maendeleo acha kuleta ujinga hapa.
 
Back
Top Bottom