Kwanini vijana wa Diamond hawapati dili za matangazo?

FirstClass

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2016
Posts
1,100
Reaction score
1,363
Licha ya kufanya vizuri kwenye mitandao ya kijamii, lakini dili nyingi tunaona zikienda kwa Baba yao pekee.

Vijana wanakwama wapi kwani.

Tembo Mnyama kila siku dili mpyaaa.

Hongera Harmonize kwa jicho la fursa. Uliona mbali sanaa.

Japo wengi walikuponda kwa maamuzi yako ya kujitoa wasafi, lakini sasa wameanza kukuelewa.

Piga pesaa dogo. Mbadala wa Diamond ni wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu kama ray hadi huruma yaan juzi tu kodi ya nyumba imemshinda.

Nilipaona kwao ray kwakweli panatia huruma halafu anasema mama yake karidhika kuuza mbogamboga eti hataki biashara nyingine yaani madogo wanatumikishwa wakija kufa ukifika makwao ndio unajua walikua wanaishi kwa kuigiza maisha miaka yote


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
WANAUME MNAKAA NA KUPOTEZA MUDA KUJADILI ANGUKO NA MAFANIKIO YA WANAUME WENZENU. AIBU SANA.


HATA JAMES DELICIOUS ALIANZA HIVI HIVI, MWISHO WA SIKU ANAPAKULIWA NA KULIWA KISAMVU.

[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama yake anauza Mboga Bado???????? Wtf[emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, bila kujadiri watu utajadiri nini mbuzi. Chochote utakachojadiri kinahusiana na mwanadamu iwe biashara, uvumbuzi fursa na kila kitu.
 
Kama harmo watu walikua wanamshukia balaa kwao pa kawaida ,choo cha nje. Mtu anashangaa showoff nyingi pale wasafi halafu home pa kawaida,kumbe hata mavazi ukute wanakodisha tu.

Ray alitakiwa awe juu kama nyimbo zake badala ya kuwa kivuli cha dai kila kukicha. Hakuna mzazi anayekataa pesa bali anaogopa kumtwisha mwanae mzigo baada ya kufahamu hali halisi
 

Yaani ni wasanii wachache Bongo wenye maisha wengi maigizo tu hawana lolote ni maskini wa kutupwa na ukiangalia ndio maana wanatumika tu na mtu yoyote


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hasara sana na hawajiongezi kabisa.

Wajiongeze wapi ndio hivo hata kodi wanaishiwa wanabaki kubung’aza macho afu waongo hatari wakisimama mbele ya umma wanajifanya kuahidi msaada fulani wakitoka hapo ukiwakumbusha wanakublock wanaishi kiujanja ujanja sana wasanii wetu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
[emoji2][emoji2][emoji2]alikuwa anasema Lugemalila ni mbinafsi sana na myonyaji kumbe yy uyo chibu ndo mnyonyaji na mbinafsi balaa hao dili awawezi pewa ww uoni mavoko alitoka iyo wcb ni lebo miyeyusho mingi sana.

121.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…