hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 664
- 539
Mondi naye ni binadamu...hawezikuwa perfect kila siku kila binadamu anajiangalia yeye kwanza ata ungekuwa wewe ila kwa mahali alipowatoa kina lavalava hadi apa walipo wana ya kumshukuru mengi sana kuliko kuwaza viela vya matangazo ambayo mengi yao yana unyonyaji ndani yakeIla jamaa anakunja adi sio poa..
Dili ndogo ndogo km ile ya tomato ilikuwa n ya kumpa ata raymond sio kufanya yeye kila ktu..
Huyu jamaa ni mbinafsi sana. Ni suala la muda tu
Sent using Jamii Forums mobile app