Kwanini vijana wa Diamond hawapati dili za matangazo?

Kwanini vijana wa Diamond hawapati dili za matangazo?

Ulitakiwankuuliza kwanini wasanii wakubwa hawapewi fursa ya matangazo zaidi ya mondi maana huyo harmonize ana ilo moja tu basi....vile vile rayvanny alishakuwa kwenye tangazo la diamond karanga
 
Alikiba yupo bize na Asass

Jux yupo bze na Mapenz ( mara nyng anaonekana Salasala kwa kimada)

Vanesa nae vile vile..

Ben Pol analelewa ..

Mziki wa Bongo unahitaji wasanii wenye Njaa ndio maana Diamond kafanikiwa. Haromize aligundua hili fasta akajiongeza
Alikiba??...jux??...mr blue??....vanessa mdee??...ban po??...nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana makundi mengi huwa yanavunjika kwasababu yenu mashabik maneno km hayo hao wasanii walikua hata hatuwajui kabla ya kuja wasafi kila kitu kina mda wake maneno km haya yalifanya Yamoto band ikavunjika


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Alikiba yupo bize na Asass

Jux yupo bze na Mapenz ( mara nyng anaonekana Salasala kwa kimada)

Vanesa nae vile vile..

Ben Pol analelewa ..

Mziki wa Bongo unahitaji wasanii wenye Njaa ndio maana Diamond kafanikiwa. Haromize aligundua hili fasta akajiongeza

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umesema game ya bongo inahitaji wasanii wenye njaa kwanini unasema diamond anawanyonya wasanii wake?na anawanyonyaje?
 
firstclass we ni mjinga usiejijua, umekosa hoja unakwepa kwa kusema utetezi dhaifu jibu hoja acha umama
 
Kama harmo watu walikua wanamshukia balaa kwao pa kawaida ,choo cha nje. Mtu anashangaa showoff nyingi pale wasafi halafu home pa kawaida,kumbe hata mavazi ukute wanakodisha tu.

Ray alitakiwa awe juu kama nyimbo zake badala ya kuwa kivuli cha dai kila kukicha. Hakuna mzazi anayekataa pesa bali anaogopa kumtwisha mwanae mzigo baada ya kufahamu hali halisi
Huyu Ray ni nani?
 
siku nyingine ulete uzi wa kiba na vijana wake haiwezekani daily wcb, haya ni majungu tu mkuu hawa vijana wanapga hela kwa mwezi kuliko hata kibamia na team yake yote japo mnawapga majungu...

mfano mzuri rayvany mwez jana kapata views 17m youtube, tufanye analipwa sh1 kila views hapo atakua kapata sh17m na bado platform zingne...

haya tukiacha hao unaosemwa wananyonywa je wasionyonywa wanapata hizo balozi tofaut na harmo?
tushawajua lengo lenu ni kuivuruga wcb hivo mnatumia kila aina ya mbinu bt wenye akili tushawajueni wasengerema nyie
Hapo ya Kwake kwenye hiyo M17 inaweza kua ni M1 tu..

Madogo Wananyonywa sana hawana pakusemea wala pakulalamika
 
Alikiba yupo bize na Asass

Jux yupo bze na Mapenz ( mara nyng anaonekana Salasala kwa kimada)

Vanesa nae vile vile..

Ben Pol analelewa ..

Mziki wa Bongo unahitaji wasanii wenye Njaa ndio maana Diamond kafanikiwa. Haromize aligundua hili fasta akajiongeza

Sent using Jamii Forums mobile app
Embu elezea vizuri hapo kwa jux bwana(nje ya mada)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uelewa wangu, pale WCB kila mtu ana meneja wake, moja kati ya majukumu ya meneja ni kuhakikisha msanii anauzika.
Sasa je mameneja wa hawa wasanii wanajaribu kuhakikisha wasanii wanauzika?
Hivi mfano lava lava unaweza kumlipa hela akufanyie tangazo? Labda tangazo la vi spika vile vya dawa ya mbu.kunguni upele n.k
 
Back
Top Bottom