The Hacker 115
Member
- Jul 21, 2019
- 58
- 72
Habarini wanajamiiforums,
Hivi sasa kumekuwa na ongezeko la magonjwa yasiyokuwa ya kueneza (non-communicable diseases) kama vile kisukari, shinikizo la damu na kufeli kwa figo miongoni mwa vijana wadogo wenye umri wa kati ya miaka 20-35.
Je, unahisi wapi tunakwama na tufanyeje kujikwamua kwenye hili janga?
Karibuni.
Hivi sasa kumekuwa na ongezeko la magonjwa yasiyokuwa ya kueneza (non-communicable diseases) kama vile kisukari, shinikizo la damu na kufeli kwa figo miongoni mwa vijana wadogo wenye umri wa kati ya miaka 20-35.
Je, unahisi wapi tunakwama na tufanyeje kujikwamua kwenye hili janga?
Karibuni.