Kwanini vijana wanaojitafuta kwa kufanya kazi za ujuzi wana uhakika wa kumaintain kuliko vijana wenye maduka na huduma za fedha?

Kwanini vijana wanaojitafuta kwa kufanya kazi za ujuzi wana uhakika wa kumaintain kuliko vijana wenye maduka na huduma za fedha?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kwenye level ya vijana wanaojitafuta, Ni sababu ipi inayowafanya vijana wengi wanaofanya kazi za ujuzi kuweza ku maintain kuzidi vijana wenye maduka na huduma za fedha


Wenye ujuzi:

wajenzi
Wachomeleaji wa vyuma
Wapishi / wakaanga chips
mafundi rangi
mafundi tv / simu / ;aptop / radio
wasusi
n.k.

Kwa vijana kundi la pili kwa wastani huwa wana mitaji ya milioni 5 wanajumua bidhaa kariakoo wanaenda kuuza kwenye frem zao mitaani, wengine wana frem mitaani wanatoa huduma za fedha za simu na benki

Kundi hili wapo wanaotoboa na wanafika mbali lakini wengi utawakuta baada ya miaka kadhaa wamefunga biashara, wamefilisika, wamehamia sekta nyingine, n.k, hali zao kiuchumi zinakuwa zimeshuka
 
Kwenye level ya vijana wanaojitafuta, Ni sababu ipi inayowafanya vijana wengi wanaofanya kazi za ujuzi kuweza ku maintain kuzidi vijana wenye maduka na huduma za fedha


Wenye ujuzi:

wajenzi
Wachomeleaji wa vyuma
Wapishi / wakaanga chips
mafundi rangi
mafundi tv / simu / ;aptop / radio
wasusi
n.k.

Kwa vijana kundi la pili kwa wastani huwa wana mitaji ya milioni 5 wanajumua bidhaa kariakoo wanaenda kuuza kwenye frem zao mitaani, wengine wana frem mitaani wanatoa huduma za fedha za simu na benki

Kundi hili wapo wanaotoboa na wanafika mbali lakini wengi utawakuta baada ya miaka kadhaa wamefunga biashara, wamefilisika, wamehamia sekta nyingine, n.k, hali zao kiuchumi zinakuwa zimeshuka
Ngoja nije
 
Kwa asilimia kubwa unacho kisema ni kweli huwezi kufirisika ujuzi ila biashara inaweza kudoda na ukapotea kwenye ramani. na hata kama wote wakaanguka mwenye ujuzi ni easy sana kusimama kuliko huyo wa kundi la pili
 
Mkuu mleta mada, Mimi ni mhitimu na Niko kwenye kundi la pili.

Nina uhakika haunizidi hela, Kama unabisha tupinge
Wewe ni pedeshee siwezi kukupinga 😀

Pedeshee, uliandika post una milioni 2, naanzaje kukupinga

 
Wewe ni pedeshee siwezi kukupinga 😀

Pedeshee, uliandika post una milioni 2, naanzaje kukupinga


Acha taarabu, wewe si una ujuzi na unakupa hela nyingi?? Post kibunda Cha hela na kiwe na karatasi yenye sign ya Id yako na Mimi nitapost kibunda.

Twendeazi, au Kama unaogopa kuanza sema nianze
 
Biashara za huduma tunatumia akili zaidi, ila hzo biashara za ujuzi sasa, nguvu nguvu nguvu...mwili unachoka sana..mtu ana miaka 30 but ukimtazama ni kama miaka 67..

Mm napendelea biashara za huduma.
Bora kupata pesa kidogo kwa akili kuliko pesa nying kwa nguvu kama mafundi.😂😂
 
Huwezi kuwa hudumia Watu mia Moja Kwa siku Moja Kwa kutumia ujuzi wako. Lakini mfanya biashara anaweza kuuza products zake Kwa Watu mia Moja na zaidi Kwa siku Moja, na hapo ndipo ujuzi unapo pigwa bao na biashara.
 
Biashara ni ngumu sio kama watu wanavoichukulia.ujuzi unalipa kama kama unaujua kweli
 
Back
Top Bottom