Hapo kwa kulazimisha chaguzi,Hahaha kule ukihoji lazima wakufukuze, Waliojaa kule ni ccm yani ndio bwana, Wambura hataki hizo ndio bwana lazima afukuzwe. TFF inalazimishwa iwe chini ya serikali, ingwa FIFA haitaki hivyo,name nakubaliana nao. Acha BMT iwe chini ya CCM lakini TFF isiwe hata chini ya serikali, lakini umeona jinsi serikali inavyoiendesha TFF. Juzi juzi uliona Yanga wanalazimishwa kumkataa Manji, wakakomaa, wakasema hayupo nchini akatuma barua atarejea clabuni kuanzia February lakini hawakutaka, TFF wanataka wawe kama msajili wa vyama vya siasa, wao ndio wachague mwenyekiti wa club na viongozi wote, wao wawe na mamlaka kuandaa na kusimamia uchaguzi ndani ya club.
Hao TFF naungana na wazanzibari nomba na natamani FIFA waifungie maisha.
Malinzi ndo alimrejesha TFFHuyu bwana kosa lake kuu ni nini?
Maana Tenga, Karia na Malinzi wote walimfurusha huyu bwana shida yake nini hasa?
Naomba ufafanuzi wadau wa mpira wa miguu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu bwana kosa lake kuu ni nini?
Maana Tenga, Karia na Malinzi wote walimfurusha huyu bwana shida yake nini hasa? the
Naomba ufafanuzi wadau wa mpira wa miguu hi to
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ndolanga hakumtaka..... Wambura ana hoji sana mapato na matumizi ... Hakuna kiongizi aliyetoka madarakani Simba wala yanga na akaacha akaunti INA fedha.... Jamaa anahoji sana ....Huyu jamaa majanga yake ni tangu FAT
Nasema mtoe Malinzi hapo ,maana yeye ndo aliyemrudisha Wambura kwenye soka
Bongo wote wazi tu,Hata Wambula history yake siyo safiHata ndolanga hakumtaka..... Wambura ana hoji sana mapato na matumizi ... Hakuna kiongizi aliyetoka madarakani Simba wala yanga na akaacha akaunti INA fedha.... Jamaa anahoji sana ....
CCM hao.
Rage hajafungwa alikata rufaa mahakama ikamuona ni clean weka kumbukumbu sawa ,usilete mkurupukoKama ndio hivyo basi Wambura ana DNA zote za Malinzi naye yafaa aunganishwe na Malinzi au ashitakiwe na kufungwa kama Aden Rage alovyofungwa wakati ule