Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,385
- 10,659
Wambura aachane na TFF afanye mambo mengine. Maisha na ukubwa sio TFF tu. TFF wenyewe ni chaka la wakwapuaji wa pesa huku mpira wa TZ ukidorora kila siku, soon tutazidiwa rank hata na Somaria au Afghanstan.
Uongozi wenyewe umeshindwa hata kupata mdhamini wa ligi!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongozi wenyewe umeshindwa hata kupata mdhamini wa ligi!!!
Sent using Jamii Forums mobile app