Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Yapo Mambo ukiyaangalia Kwa macho ya ROHONI unatambua Yana fumbo kubwa Sana. Mbowe ni mhalifu aliyekamatwa na serikali ya makini ya awamu ya sita,akafikishwa mahakamani, akasomewa mashtaka, akakana, serikali ikawasilisha ushahidi, ikapata upinzani mara mbili nakupelekea mahakama itoe hukumu ndogo dhidi ya mapingamizi yaliyowekwa, Mhe. Jaji akaonyesha mapingazi yote serikali kupitia Mawakili makini wameshinda....hakuna Kiongozi wa serikali ya awamu ya Tano aliyejitokeza adharani kushangilia utendaji mzuri WA Mawakili wa serikali.
Hakuna aliyeandika hata kwenye mtandao wa kijamii kuonyesha kuipongeza mahakama Kwa KAZI nzuri ya kutoa Haki, hakuna chombo kinachomilikiwa na chama au serikali kilichotoka adharani nakutafuta maoni ya Wana CCM na serikali yao kwenye ushindi huu.
Hii ni tofauti na kesi nyingine ambazo serikali ushinda, tumezea comments nyingi sana kutoka serikalini lakini this time wote wamekaa kimya hakuna anayetaka kujadili kabisa maamuzi. Najiuliza haya maamuzi anayotoa Jaji kwenye hii kesi kwanini ayapongezwi? Kwanini watu wamenuna hata waliopaswa kushangilia?
Mashahidi wakaendele kutoa ushahidi wao na leo ikatolewa maamuzi kwamba watuhumiwa wote Wana kesi ya kujibu. CHADEMA wakashangilia kwamba mapambano yanaendelea. Upande wa Jamhuri hakuna aliyeshangilia au hata kuthubutu kutabasamu. Walioshindwa wakaonekana wanafuraha KULIKO walioshindwa...what's wrong with you winners? You are discouraging our Prosecutors and Judges for your quietness.
Mnamfanya Jaji ajiulize labda ajaeleweka? Mbona anatoa hukumu mnanuna? Hata vyombo vya habari navyo vinaripoti Kwa uoga. Who is Mbowe? Ambaye anaitwa Gaidi lakini Wananchi awapendi ahukimiwe Kwa makosa yake?
Tuachane na Wana CCM kushindwa kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya Tano, twende kwenye MAPOKEO ya maamuzi ya mahakama. Wananchi wanaposhangilia kumpongeza Mtuhumiwa wa Ugaidi unajiuliza nao ni magaidi? Shangwe hizi na nderemo zakumtia Moyo Gaid zinatoka kwa Wananchi Gani? Kama serikali inalinda raia na Mali zao kwanini wasikamatwe wanaoshangilia wahalifu na kuwatia Moyo? Hawa Wananchi kwanini wanapingana na viongozi wa wao.
Mwisho tujiulize, hao watanzania wanaomtuhumu Mbowe kuwa ni Gaidi wapo wapi? Mbona awashangilia ushindi mkubwa kiasi hiki? Mbona ushindi huu umewanyima wananchi amani? Hatuoni kama wenye furaha ni watu wachache sana Tena ambao ukiwaliza furaha Yao inatoka wapi awawezi kukuambia?
Naamini yupo Kiongozi ndani ya top Three za awamu ya sita wangekabidhiwa nchi Cha kwanza wangefuta kesi hii baada ya kuona wananchi wameshindwa kabisa kuyaelewa maamuzi ya Jaji. Kibayazaidi kinachowafanya wananchi washindwe kumwelewa Jaji ni pale anaposoma au kutoa summary ya maamuzi bila kutaja sheria au kanuni, bila kueleza ushahidi upi ulikuwa na nguvu na mazingira au vielelezo Gani vilijitosheeleza. Inshort Jaji alichofanya kikawachanganya wananchi ni pale aliposoma
1. Mashataka,
2. Akasoma watuhumiwa
3. Akasoma majina ya Mawakili,
4. Akasoma majina ya mashahidi,
6. Akasoma vielelezo
7. Akasema yeye binafsi not sheria
8. Ameona watuhumiwa Wana kesi ya kujibu.
Hapa ndipo utata ulipoanzia, kwamba Jaji Hana kifungu Cha sheria, Hana analysis ya kufikia maamuzi na Hana sababu ya kwanini Wana kesi ya kujibu. Hii haijawahi kutokea mahakama Kuu yoyote Duniani may be Tanzania.
Lakini Juzi nilijiuliza siku mbili zinatosha kusoma kurasa 1500? Leo zimeombwa siku sababu za kuandika maamuzi means kutokuonekana analysis yoyote ni matokeo ya kutokusoma. Lakini kilichosomwa leo kimeshindwa kueleweka masikioni mwa wengi Kwa sababu Dunia yenye watu wenye akili ilishaacha kuambiwa. May be ndio maana CCM wanakuwa mabubu kwenye hii kesi maana Awana point yakusimamia labda warushe ngumi
Hakuna aliyeandika hata kwenye mtandao wa kijamii kuonyesha kuipongeza mahakama Kwa KAZI nzuri ya kutoa Haki, hakuna chombo kinachomilikiwa na chama au serikali kilichotoka adharani nakutafuta maoni ya Wana CCM na serikali yao kwenye ushindi huu.
Hii ni tofauti na kesi nyingine ambazo serikali ushinda, tumezea comments nyingi sana kutoka serikalini lakini this time wote wamekaa kimya hakuna anayetaka kujadili kabisa maamuzi. Najiuliza haya maamuzi anayotoa Jaji kwenye hii kesi kwanini ayapongezwi? Kwanini watu wamenuna hata waliopaswa kushangilia?
Mashahidi wakaendele kutoa ushahidi wao na leo ikatolewa maamuzi kwamba watuhumiwa wote Wana kesi ya kujibu. CHADEMA wakashangilia kwamba mapambano yanaendelea. Upande wa Jamhuri hakuna aliyeshangilia au hata kuthubutu kutabasamu. Walioshindwa wakaonekana wanafuraha KULIKO walioshindwa...what's wrong with you winners? You are discouraging our Prosecutors and Judges for your quietness.
Mnamfanya Jaji ajiulize labda ajaeleweka? Mbona anatoa hukumu mnanuna? Hata vyombo vya habari navyo vinaripoti Kwa uoga. Who is Mbowe? Ambaye anaitwa Gaidi lakini Wananchi awapendi ahukimiwe Kwa makosa yake?
Tuachane na Wana CCM kushindwa kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya Tano, twende kwenye MAPOKEO ya maamuzi ya mahakama. Wananchi wanaposhangilia kumpongeza Mtuhumiwa wa Ugaidi unajiuliza nao ni magaidi? Shangwe hizi na nderemo zakumtia Moyo Gaid zinatoka kwa Wananchi Gani? Kama serikali inalinda raia na Mali zao kwanini wasikamatwe wanaoshangilia wahalifu na kuwatia Moyo? Hawa Wananchi kwanini wanapingana na viongozi wa wao.
Mwisho tujiulize, hao watanzania wanaomtuhumu Mbowe kuwa ni Gaidi wapo wapi? Mbona awashangilia ushindi mkubwa kiasi hiki? Mbona ushindi huu umewanyima wananchi amani? Hatuoni kama wenye furaha ni watu wachache sana Tena ambao ukiwaliza furaha Yao inatoka wapi awawezi kukuambia?
Naamini yupo Kiongozi ndani ya top Three za awamu ya sita wangekabidhiwa nchi Cha kwanza wangefuta kesi hii baada ya kuona wananchi wameshindwa kabisa kuyaelewa maamuzi ya Jaji. Kibayazaidi kinachowafanya wananchi washindwe kumwelewa Jaji ni pale anaposoma au kutoa summary ya maamuzi bila kutaja sheria au kanuni, bila kueleza ushahidi upi ulikuwa na nguvu na mazingira au vielelezo Gani vilijitosheeleza. Inshort Jaji alichofanya kikawachanganya wananchi ni pale aliposoma
1. Mashataka,
2. Akasoma watuhumiwa
3. Akasoma majina ya Mawakili,
4. Akasoma majina ya mashahidi,
6. Akasoma vielelezo
7. Akasema yeye binafsi not sheria
8. Ameona watuhumiwa Wana kesi ya kujibu.
Hapa ndipo utata ulipoanzia, kwamba Jaji Hana kifungu Cha sheria, Hana analysis ya kufikia maamuzi na Hana sababu ya kwanini Wana kesi ya kujibu. Hii haijawahi kutokea mahakama Kuu yoyote Duniani may be Tanzania.
Lakini Juzi nilijiuliza siku mbili zinatosha kusoma kurasa 1500? Leo zimeombwa siku sababu za kuandika maamuzi means kutokuonekana analysis yoyote ni matokeo ya kutokusoma. Lakini kilichosomwa leo kimeshindwa kueleweka masikioni mwa wengi Kwa sababu Dunia yenye watu wenye akili ilishaacha kuambiwa. May be ndio maana CCM wanakuwa mabubu kwenye hii kesi maana Awana point yakusimamia labda warushe ngumi