- Thread starter
-
- #21
Huyu rais wa Tanzania amewashika kenya pachungu sana, sijaona wakenya kupaparika kwa rais wa Tanzania tokea enzi za Nyerere. Kenyatta anasema tu kwenye media, siku mashoga wa kenya wakiamua kujiachia wazi wazi ndio tutajua kama ana ubavu au la.
Kwa kweli nilikuwa baadhi ya watu amabao walikuwa wakimshabikia Magufuli ingawa MK254 alinionya katika mijadala kuhusu watu wa kukurupuka kama mzee Pumba. Lakini baada ya muda kidogo, niligundua kuwa huyu ni kichaa (na mwenyewe alikiri.) Hivi majuzi ameenda kanisani kuitisha msaada eti hajui kina mkapa walimalizaje miaka yao kumi. Kwa kweli, nawaonea huruma waTZ.
Kuhusu hawa watu wa Kufirana, ni kwanini mmeanza kuwapa "Haki Zao" baada ya mzungu kuongea? Mbona hamukumwambia Makonda papo hapo aliposema atwashika? Vibaraka vy CCM ni laana kwa taifa lote la TZ