Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mzee Dalali ameomba wazee waruhusiwe kwenda pale kambini kuondoa upumbavu wote uliowekwa ambao unasababisha wachezaji waonekane hawana uwezo, wazito na hawajui mpira, wachezaji kama Chama, Bocco Baleke, Saido hawa hivi sio viwango vyao, hawa wamefanyiwa dawa wasitambe kabisa dimbani
Wazee wanaomba waruhusiwe wafike pale wakakague mazingira, wamesema yeyote aliyepiga misumari wachezaji wako tayari kumuangamiza, wenzenu kule Avic wanafanya kufuru, nyie leteni uzungu, mechi na Wydad ndio itakuwa alpha na omega kwetu, sare mbaya, kufungwa mbaya.
Mzee Dalali kama hawataki wenye simba yenu kwenda pale nyie nendeni t sisi tunataka ushind j4
Wazee wanaomba waruhusiwe wafike pale wakakague mazingira, wamesema yeyote aliyepiga misumari wachezaji wako tayari kumuangamiza, wenzenu kule Avic wanafanya kufuru, nyie leteni uzungu, mechi na Wydad ndio itakuwa alpha na omega kwetu, sare mbaya, kufungwa mbaya.
Mzee Dalali kama hawataki wenye simba yenu kwenda pale nyie nendeni t sisi tunataka ushind j4