Kwanini viongozi wa Simba wako hivi

kumpoteza mchezaji kama yule lazima mpagawe,na waandishi wa kibongo walivyowambea jamaa akaona wasimtaniee...mbona hata Yanga viongozi wao wa hovyo tu......Mangi wao wa kiarab si anatuhuma za uhujumu na kuuza unga.....Gulamali jee?
 
Endeleeni tu tuone nani zaidi, kati ya mikia na wananchi.
 
@ Deo Corleone viongozi wa Simba ni watu makini sana.. Viongozi wa Ndala na Azam ndo wapuuzi puuzi.
 
Mkuu povu linakutoka bila evidence

Yenu yanawashinda kama mke wa balozi nyumba kumi kumi kazi kuijadili Simba. Simba hawana muda huo mbovu wao wana kazi ya kugawa maumivu jangwani kila tukikutana. Mwanaume kama Simba kujadiliwa na wanawake ni kawaida endeleeni tukutane dimbani mzimie tena kama kawaida yenu.
 

Hassan Hassanol alikamatwa akiwa kiongozi wa Simba au kama mwananchi wa kawaida tu? Acha unazi wa kipuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…