Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Hivi hawa mikia fc huwa wanawatoa Wapi viongozi wao?
Jana nilikua nacheki star TV habari za michezo,katibu wao somebody Ally Ally alienda pale makao makuu ya klabu kubwa zaidi hapa east Africa ,azam fc kukamilisha deal ya kiemba,ajabu baada ya kutoka pale ofisini akagoma kuongea na media huku akitaka kuvunja camera.
Kulikua na sababu gani ya vile wakati ishu ya transfer ni ya kawaida tu!!,alivyopanick as if anahojiwa kuhusu escrow.
Hata ukiangalia baadhi ya viongozi wa mikia ni watu wa ajabu ajabu tu!!
Rage_Aliwekwa jela kwa kuescrow pale FAT
.
Hasanol_ana kesi ya meno ya tembo
Somebody massanja yupo jela huko China kwa drugs
Hanspope_uhaini
.na mengine mengi?
Hivi ni umbumbumbu wa mashabiki wa mikia fc ndo husababisha kuwa na viongozi wa ajabu ajabu?
sembo mkolaj Amavubi Crashwise,
yahoo wakimataifa Makoye Matale Mphamvu Skype VOICE OF MTWARA
revocatus Kashanga
Balantanda Nakapanya et al
Jana nilikua nacheki star TV habari za michezo,katibu wao somebody Ally Ally alienda pale makao makuu ya klabu kubwa zaidi hapa east Africa ,azam fc kukamilisha deal ya kiemba,ajabu baada ya kutoka pale ofisini akagoma kuongea na media huku akitaka kuvunja camera.
Kulikua na sababu gani ya vile wakati ishu ya transfer ni ya kawaida tu!!,alivyopanick as if anahojiwa kuhusu escrow.
Hata ukiangalia baadhi ya viongozi wa mikia ni watu wa ajabu ajabu tu!!
Rage_Aliwekwa jela kwa kuescrow pale FAT
.
Hasanol_ana kesi ya meno ya tembo
Somebody massanja yupo jela huko China kwa drugs
Hanspope_uhaini
.na mengine mengi?
Hivi ni umbumbumbu wa mashabiki wa mikia fc ndo husababisha kuwa na viongozi wa ajabu ajabu?
sembo mkolaj Amavubi Crashwise,
yahoo wakimataifa Makoye Matale Mphamvu Skype VOICE OF MTWARA
revocatus Kashanga
Balantanda Nakapanya et al
Last edited by a moderator: