Hii ndiyo tabia ya viongozi wetu kupenda kusafiri, kuiona dunia. Yaani hata wanatafutiwa Ndege kwa ajili ya safari tu! Hiyo ni kazi ya maendeleo ya Taifa?
Wakati MV Bukoba inazama mwaka 1996, waziri mkuu wa Taznzania Ndg. Sumaye alikuwa ziarani Kusini mwa Afrika. Ikatangazwa ni janga la kitaifa, lakini waziri mkuu hakurudi nyumbani. Aliendelea na ziara na kula bata. Tangu hapo hakupendwa tena na wa-TZ inagawa rais Mkapa kwa kiburi chake alimrudisha ili kuwakomoa wa-TZ. Eti baadaye alipohama CCM, huyohuyo Mkapa akasema ni mpumbavu!
Mara hii tena Kariakoo kuna janga la kuanguka kwa gorofa. Katikati ya uokoaji, raisi amepunga mkono na kuelekea Brazil bila kujali kuwepo kwa janga hilo. Anatuma salamu za rambirambi akiwa ugenini, safarini, huku tunasema ni mama.
Tufanyeje ili tupate viongozi wanaojitambua?
Wakati MV Bukoba inazama mwaka 1996, waziri mkuu wa Taznzania Ndg. Sumaye alikuwa ziarani Kusini mwa Afrika. Ikatangazwa ni janga la kitaifa, lakini waziri mkuu hakurudi nyumbani. Aliendelea na ziara na kula bata. Tangu hapo hakupendwa tena na wa-TZ inagawa rais Mkapa kwa kiburi chake alimrudisha ili kuwakomoa wa-TZ. Eti baadaye alipohama CCM, huyohuyo Mkapa akasema ni mpumbavu!
Mara hii tena Kariakoo kuna janga la kuanguka kwa gorofa. Katikati ya uokoaji, raisi amepunga mkono na kuelekea Brazil bila kujali kuwepo kwa janga hilo. Anatuma salamu za rambirambi akiwa ugenini, safarini, huku tunasema ni mama.
Tufanyeje ili tupate viongozi wanaojitambua?