Mungu yupi tena wakati tuliambiwa yeye ni mungu.Hata hivyo asimgeuze Mungu wetu kama mtani wake..........
Dawa.yake ni wananchi tujitokeze tarehe 28 mwezi huu kumpigia kura yule mwenye Sera ya maendeleo ya watu na tuimwage kabisa Pombe ambayo ni "unfit for human consumption"
Kwa mujibu wa Quran Waislamu wamegawanyika sehemu mbiliHuwa nashangaa Sana muislamu kumshabikia mtu anaewatesa na kuwanyanyasa Sana waislamu, musiba angekuwa ni muislamu siku nyingi Sana angeshaozea ndani, lakini wengine wakitoa maoni yao jela zinawahusu.
Kwann mnaendekeza Sana njaa ya vitu vidogovidogo hata kwa kuzidhalilisha dini zenu?
Mungu yupo mmoja tu, ambaye ndiye huyu aliyeumba mbingu na dunia na viumbe wote wa dunia hii, hao wanaojiita miungu wengine na hawa wengine wanaosema watatuma "application" zao kuomba ukuu wa malaika wanasherehesha shugulhuli tuu!Mungu yupi tena wakati tuliambiwa yeye ni mungu.
Mkuu Simba zee 33.Matokeo yake Sheikh Ponda alikamatwa na kupelekwa sehemu isiojulikana baada ya muda akaonekana anaendesha BMW mpya na mambo yake Safi Sana
Hivi Sasa yeye na jopo lake ni wanaharakati mkubwa wa JPM na hata ile michango ya kuwasaidia Familia za waliopo jela imepigwa stop 🛑 maana wanaamini inaweza kuleta hisia za kumchukia JPM
Mkuu 'Mystery', sijui kama umesoma taarifa aliyoandika mkuu Simba zee hapo juu.Exactly by 100%
Duuh! Kwa hiyo tayari atakuwa ashanunuliwa na jiwe!Matokeo yake Sheikh Ponda alikamatwa na kupelekwa sehemu isiojulikana baada ya muda akaonekana anaendesha BMW mpya na mambo yake Safi Sana
Hivi Sasa yeye na jopo lake ni wanaharakati mkubwa wa JPM na hata ile michango ya kuwasaidia Familia za waliopo jela imepigwa stop 🛑 maana wanaamini inaweza kuleta hisia za kumchukia JPM
Kama upo dar na wewe ni muislamu fanya mpango usali kichangani utajioneaMkuu Simba zee 33.
Taarifa hiyo hapo juu ni ya kweli?
Nitaamini kwamba Magufuli anauwezo wa kipekee (hata sawa na wa ki-mungu), kama uliyoyaeleza hapo juu kuhusu Ponda ni ya kweli!Kwa mujibu wa Quran Waislamu wamegawanyika sehemu mbili
1::Waumini
2::wanafiki
Sasa Tanzania wanafiki ni wengi kuliko waumini
Astaghfirullah...Nitaamini kwamba Magufuli anauwezo wa kipekee (hata sawa na wa ki-mungu), kama uliyoyaeleza hapo juu kuhusu Ponda ni ya kweli!
Exactly by 100%Neno moja-HAKI limewashinda waimba mapambio wote yaani siyo Alhad na timu yote ya wahubiri wa Amani,Bashiru,Polepole,kina Diamond&co,Samoa,Majaliwa+timu yote ya Kibajaji,Msukuma etc bila kuwasahau....
Jambo LA Msingi ni Uhuru,Haki na Maendeleo tunayoyataka na kujiletea wenyewe.Mengine yote ni porojo tu!
Hawawajibiki wanapotenda na kutimiza maelekezo ya aliyewateua,kuna Uvunjifu wa Katiba na ni jukumu la wananchi kuhakikisha wanatumia njia ya uchaguzi kuwaondoa watawala na kuchagua viongozi.Kuwajibika kumekuwa ni msamiati mgeni kabisa katika uongozi huu wa utawala wa serikali ya awamu ya 5.
Nakumbuka katika uongozi wa awamu ya kwanza, chini ya uongozi wa Mwalimu Nyerere, kuwa Waziri wa Mambo ya ndani wa enzi zile Alhaj Ali Hasaan Msingi, alijiuzulu wadhifa wake kutokana na mauaji ya raia wasiokuwa na hatia yaliyotokea mkoani Shinyanga.
Ni kwanini katika uongozi huu wa utawala wa serikali ya awamu ya 5 wanaendelea na mambo yao "as usual" wakati raia mbalimbali wakipoteza maisha yao, sehemu mbalimbali nchini?