Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
wanakiburi cha madaraka na kwamba wanajua wananchi tuko weak hatuwezi kufanya lolote kuhusu makosa yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna wakati nimewahi kufikiri kwamba viongozi wetu wamewahi kutumia 'bange' au mihadarati fulani ujanani mwao!
Mtu anaposema:
-HIVYO NI VIJISENTI TU
-NCHI IKIKAA GIZANI TUSILAUMIANE
-BORA WANANCHI WALE HATA NYASI ,LAKINI NDEGE YA RAIS LAZIMA INUNULIWE
lol!