Kwanini Viongozi wetu wa Kisiasa hawaombi msamaha wanapokosea?

wanakiburi cha madaraka na kwamba wanajua wananchi tuko weak hatuwezi kufanya lolote kuhusu makosa yao.
 

Na hasa hawa wa sisi maf......😕
 
Viongozi wetu hawaombi msamaha kwa vile si wanyenyekevu. Wamejaa majivuno na majigambo. Pili, hawaombi msamaha kwa vile hawatuheshimu sisi waongozwa. Mtu usiyemheshimu si rahisi kumwomba msamaha. Unamwomba msamaha yule unayemheshimu, unayetambua utu wake. Kumbe wao wanatuona sisi watu wa kuja tu, tena tusio na uelewa mkubwa wa mambo
 
Kama Viongozi hawawajibiki na wanatumia fedha kupata kura ni nini sasa kifanyike?tukatae fedha zao au tule fedha zao na tusiwape kura 2010.
 
Si kwamba ni sisi wananchi ndio tunawalea kwa kutowawajibisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…