Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kwa Wakristo katika agano la kale ambalo bado linazingatiwa kwa kiasi kikubwa na Wasabato kuna wanyama walikataza kuliwa maarufu zaidi akiwa nguruwe/kitimoto wengine ni kama Sungura na ngamia. Samaki Kambale nao walikatazwa.
Kwa Waislamu wao najua nguruwe/kitimoto ndiye mnyama maarufu zaidi mwenye katazo la kuliwa, sijui kama kuna wengine.
Ni kwa nini hasa hawa wanyama walikatazwa kuliwa katika hivi vitabu vya dini?
Kwa Waislamu wao najua nguruwe/kitimoto ndiye mnyama maarufu zaidi mwenye katazo la kuliwa, sijui kama kuna wengine.
Ni kwa nini hasa hawa wanyama walikatazwa kuliwa katika hivi vitabu vya dini?