Kwanini vitabu vya dini vilikataza baadhi ya wanyama kuliwa?

Kwanini vitabu vya dini vilikataza baadhi ya wanyama kuliwa?

Neno lenyewe biblia lilianza kutumika karne ya tatu AD, huko nyuma ilikuwa ni magombo, nyaraka au maandiko. Hata hivyo huu sio mjadala wa huu uzi, jikite kwenye mada.
Kutokana na mabadiliko ya mara kwa mara ya biblia ni ngumu kuchangia mada yako, huenda huko mbele tukaruhusiwa tunayokatazwa sasa kama ilivyotokea kwa nguruwe
 
Kwa Wakristo katika agano la kale ambalo bado linazingatiwa kwa kiasi kikubwa na Wasabato kuna wanyama walikataza kuliwa maarufu zaidi akiwa nguruwe/kitimoto wengine ni kama Sungura na ngamia. Samaki Kambale nao walikatazwa.

Kwa Waislamu wao najua nguruwe/kitimoto ndiye mnyama maarufu zaidi mwenye katazo la kuliwa, sijui kama kuna wengine.

Ni kwa nini hasa hawa wanyama walikatazwa kuliwa katika hivi vitabu vya dini?
Kwa akili tu ya kawaida,,wewe unaweza kula kenge,mjusi au bundi?
 
Kwa Wakristo katika agano la kale ambalo bado linazingatiwa kwa kiasi kikubwa na Wasabato kuna wanyama walikataza kuliwa maarufu zaidi akiwa nguruwe/kitimoto wengine ni kama Sungura na ngamia. Samaki Kambale nao walikatazwa.

Kwa Waislamu wao najua nguruwe/kitimoto ndiye mnyama maarufu zaidi mwenye katazo la kuliwa, sijui kama kuna wengine.

Ni kwa nini hasa hawa wanyama walikatazwa kuliwa katika hivi vitabu vya dini?
Kuna wengine wanavuka mipaka wanawinda mpaka wale wanaofanana kabisa na binadamu tofauti ni mikia tu
 
Kwa Wakristo katika agano la kale ambalo bado linazingatiwa kwa kiasi kikubwa na Wasabato kuna wanyama walikataza kuliwa maarufu zaidi akiwa nguruwe/kitimoto wengine ni kama Sungura na ngamia. Samaki Kambale nao walikatazwa.

Kwa Waislamu wao najua nguruwe/kitimoto ndiye mnyama maarufu zaidi mwenye katazo la kuliwa, sijui kama kuna wengine.

Ni kwa nini hasa hawa wanyama walikatazwa kuliwa katika hivi vitabu vya dini?
Walikuwa wachache sana wakati huo yaani "endangered Spish" lakini kumbuka kuwa hivi Vitabu havijafanyiwa update ndiyo maana hiyo katazo bado ipo vitabuni lakini kiuhalisia huko Mitaani Kitimoto, Sungura, Ngamia na Kambale ndiyo habari ya Mjini.
 
Ukishafahamu kwamba vitabu vya kidini ni hekaya za kutungwa na watu tu, Wala husumbuki kuendeshwa na riwaya hizi uchwara.
 
Kwa Wakristo katika agano la kale ambalo bado linazingatiwa kwa kiasi kikubwa na Wasabato kuna wanyama walikataza kuliwa maarufu zaidi akiwa nguruwe/kitimoto wengine ni kama Sungura na ngamia. Samaki Kambale nao walikatazwa.

Kwa Waislamu wao najua nguruwe/kitimoto ndiye mnyama maarufu zaidi mwenye katazo la kuliwa, sijui kama kuna wengine.

Ni kwa nini hasa hawa wanyama walikatazwa kuliwa katika hivi vitabu vya dini?
kiswahili kinasema ni najisi
kiingereza kinsema they are harmful
kwanini magari hayajtumii hata mafuta ya taa? ila mwili unaona ni kula kila kitu
 
Je, wajua kuwa nyama ya nguruwe ndiyo nyama inayoliwa kwa wingi kuliko nyama nyingine duniani?
 
Back
Top Bottom