Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Unasajiri laini ya simu kwa NIDA ila cha kushangaza wanakuwekea ndani ya miezi mitatu imefutwa.
Unaenda kuomba mkopo benki lakini kitambulisho cha NIDA ni kama umepeleka Passport tu kwa nijuavyo.
Suala la kitambulisho cha taifa tulivolichukulia kiukweli tumekosea kiwango kikubwa tena kiusalama.
Ukiwa kwa wenzetu kupata kitambulisho cha taifa sio jambo la mchezo na sio wote watapa kitambulisho kama huku tunavofanya utazani leseni ya pikipiki.
Taasisi kama benki na nyingine sio kama zinashindwa kukosoa Serikali kwa hili jambo sababu ni hizo za utoaji wa vitambulisho leo unashangaa mpaka sio raia anamiliki kitambulisho.
Ukienda mamlaka wanazotoa vitambulisho unaona kabisa ni kama kitu kinachotolewa tu bila umakini.
Kitambulisho ni nyaraka muhimu sana na utoaji wake unavofanywa.
Taarifa za mpaka unapata kitambulisho kwakweli haziwezi kumuaminisha taasisi binafsi kama mabenki.
Ni hayo tu kwangu kesho unashangaa Mkenya kapata kitambulisho
Unaenda kuomba mkopo benki lakini kitambulisho cha NIDA ni kama umepeleka Passport tu kwa nijuavyo.
Suala la kitambulisho cha taifa tulivolichukulia kiukweli tumekosea kiwango kikubwa tena kiusalama.
Ukiwa kwa wenzetu kupata kitambulisho cha taifa sio jambo la mchezo na sio wote watapa kitambulisho kama huku tunavofanya utazani leseni ya pikipiki.
Taasisi kama benki na nyingine sio kama zinashindwa kukosoa Serikali kwa hili jambo sababu ni hizo za utoaji wa vitambulisho leo unashangaa mpaka sio raia anamiliki kitambulisho.
Ukienda mamlaka wanazotoa vitambulisho unaona kabisa ni kama kitu kinachotolewa tu bila umakini.
Kitambulisho ni nyaraka muhimu sana na utoaji wake unavofanywa.
Taarifa za mpaka unapata kitambulisho kwakweli haziwezi kumuaminisha taasisi binafsi kama mabenki.
Ni hayo tu kwangu kesho unashangaa Mkenya kapata kitambulisho