mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mitano tenaPole na majukumu wa Tanzania wenzangu kwa kulijenga taifa letu.
Jamani huku kwetu mkoa wa Songwe sasa ndoo ya mafuta ya kupikia elfu themanini nayo ni Toka nchi jirani ya kwetu ni elfu themanini na tatu na hayapatikani .sukari ya Tanzania Hamna kabisa napo ukibahatika ni tsh 3,500kg..
vitu vinapanda bei kwasababu uzalishaji wa hivyo vitu ni mdogo hivyo havipatikani kwa wingi. Sasa kwa kuwa havipatakani kwa wingi basi uhitaji unakua ni mkubwa mno.Pole na majukumu wa Tanzania wenzangu kwa kulijenga taifa letu.
Jamani huku kwetu mkoa wa Songwe sasa ndoo ya mafuta ya kupikia elfu themanini nayo ni Toka nchi jirani ya kwetu ni elfu themanini na tatu na hayapatikani .sukari ya Tanzania Hamna kabisa napo ukibahatika ni tsh 3,500kg...
Mitano TenaPole na majukumu wa Tanzania wenzangu kwa kulijenga taifa letu.
Jamani huku kwetu mkoa wa Songwe sasa ndoo ya mafuta ya kupikia elfu themanini nayo ni Toka nchi jirani ya kwetu ni elfu themanini na tatu na hayapatikani .sukari ya Tanzania Hamna kabisa napo ukibahatika ni tsh 3,500kg....
Huko mjengoni kwenyewe kuna wasomi kweli, au kuna mabingwa tu walio kariri masomo darasani na kufaulu, na pia wale mabingwa wa kununua shahada za uzamili na uzamivu kwa kutumia hela zitokanazo na posho za vikao?Babu yenu mkulima hana furaha. Bei ya mbolea iko juu,bei ya mazao yake hapangi yeye, wanapanga walewale waliomuuzia mbolea kwa bei yakinyonyaji. Wasomi wanguhebu jitadhiminini. Kweli mnasababu ya kuendelea kuwepo mjengoni . Upo wapi ule ufaulu wenu wa A? Mjue Mungu anawaona.