figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Kenya kimewekwa kiwanja kimoja tu cha Jomo Kenyata Intarnational Airport wakati Tanzania vimewekwa viwanja vilivyopo nje ya dar.Hili nalo mkalitazame...
Au nasema uongo ndugu zangu?
Siiisiemu hoyeeee....
Kenya ni kimoja, Tz cha Dar hakipo, Mbeya hakipo, vyote ni vipya. Vilivyowekwa ni vya zamani vya majiji mbalimbali, nafikiri umeona hata majina, mbona Kenya hamna jina?Yaani baada ya kuangalia Video inayosambaa, nikashangaa Tanzania hawana Viwanja pamoja kuwa na ndege za kisasa.
Tatizo ni nini? Kwani jengo la Abiria Shilingi ngapi?
Wakenya wanawacheka Tanzania kwa dharau
Samia kazi anayo.. Hivi Magufuli kumbe hakujenga kiwanja hata kimoja
Naona aibu.
View attachment 2639190
Balaaa🤣🤣🤣Hili nalo mkalitazame...
Au nasema uongo ndugu zangu?
Siiisiemu hoyeeee....
Ni Nchi mojaKwa nini? Tanzania na kenya ni nchi mbili tofauti
Ni Nchi moja
Siri ni Kuwa waKenya. wengi wapo nchi za nje. Safari za kurudi na kuondoka ni nyingi ukilinganisha na ss Tz.Hata uchumi wametuzidi