Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Huwa nashangazwa na jambo hili kwenye ligi yetu Tanzania mimi sio mfuatiliaji wa mpira mara nyingi nikiangalia taarifa za habari wasaa wa michezo huwa napenda kuangalia magoli yamefungwaje Lakini cha ajabu huwa nakutana na simulizi tu ya mchezo mzima ulivyotokea magoli siyaoni.
Tofauti na ligi za ulaya magoli yote yanayofugwa yanaoneshwa kwenye taarifa ya habari kwenye bbc news au cnn Sasa naombeni mnijuze wadau sijui kitu gani kinawakwamisha waandishi wetu sisi tunaopenda kuangalia magoli kwenye taarifa ya habari tunakosa uhondo
Tofauti na ligi za ulaya magoli yote yanayofugwa yanaoneshwa kwenye taarifa ya habari kwenye bbc news au cnn Sasa naombeni mnijuze wadau sijui kitu gani kinawakwamisha waandishi wetu sisi tunaopenda kuangalia magoli kwenye taarifa ya habari tunakosa uhondo