Ni masuala ya uzalendo. Unaweza kuta huyu anayewatetea M23 ni mtu kutoka nchi inayowadhili M23. Hakuna lugha nyingine ataelewa zaidi ya hiiMshikaji, una miaka 13 JF na Bado unatukana!!!???
Hujalizoea tu hili jamvi la wageni na wasafiri kafiri?
Safi sanaaaaaaKuna kelele mingi huko Congo zikilalamika Idara ya Uhamiaji Tanzania kukamata na kuzuia wanajeshi wa M23 na viongozi wao akiwemo Eric Nkuba na kuwarejesha kwenye nchi yao.
Vyombo vya habari vya Congo na Ufaransa vinalalamika kukamatwa kwa viongozi wao vikisema ni kinyume cha haki za binadamu. Nataka kuwauliza hayo mauaji yanayotokea COngo kwa miaka yapo kwa mujibu wa haki za binadamu? Je wanataka hao watu waje wakajifiche Tanzania kwa ajili ya kuja kutuchambulia hali yetu ya usalama?
Mimi nasema Uhamiaji msiruhusu hawa watu wakimbilie Tanzania wafungieni milango wabaki huko wapigwe na wanajeshi wetu kwa ajili ya kukomboa wananchi wasio na hatia.
Haiwezekani Wanajeshi wetu Congo wanarisk maisha yao kupambana na magaidi then magaidi wakimbie kuja kujificha Tanzania . Kuwapokea wanajeshi wanaotaka kujificha Tanzania ni kuwasaliti wanajeshi wetu waliopo Congo wakitafuta amani.
Jeshi la Uhamiaji lindeni mipaka hawa watu wasivuke kuja Tanzania. Wananchi wafichueni hawa wanajeshi wanaokuja kujificha huku kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na jeshi letu. Tanzania imekuwa mkombozi wa bara la Afrika na sasa bado tunaendelea.
Tusipokuwa serious kuwapiga hawa watu watakuja kufanya yale yaliyofanywa Kibiti.
NImeona wanaoleta propaganda wanataka kumchafua Mhe.Rais, lakini kwa hili hakuna kurudi nyuma tusimamie amani ya wenzetu. Congo ikiwa na amani hata sisi wafanyabiashara tunaopeleka mzigo huko kutoka bandari ya DAR es salaam tutafanya biashara na madereva wetu watakuwa salama.
KOngole vyombo vya dola kwa kusimamia mapambano dhidi ya waasi wanaosumbua wanajeshi wetu DRC Congo.
Wanaona ni nchi ya amani na wanaweza kujichekesha wakabaki hapaKwann wakimbilie bongo wabakie huko huko wamalizane
Ni zaidi ya kagame,waume zao ni uk,France na USAUmesahau M23 ni kagame?
Jina lako linasadifu ulichokiandika.1. Uhamiaj hawana mamlaka ya kuthibitisha ugaid.
2. Tanzania kama UN member ilipaswa kutoa hifadhi kwa hao watu kama inavyofanya kwa wakimbizi wengne.
3. Kitendo cha kurudisha mkimbiz alikotoka hususan wa congo ni kinyume na makubaliano ya EAC na haki za kibinaadam.
4. Ni sahihi kwa vyombo vya habari vya congo na mataifa ya ulaya kuilaumu Tanzania kwa kuwa tz gvt imeenda kinyume na conducts of civilized states.
Ndio nchi ya kuungana nayo ili tuweze kutoa ulinzi ipasavyo na vijana wakapate kazi za Ujenzi wa barabara hukoMungu bariki zaidi undugu wa Congo🇨🇩 na Tanzania🇹🇿.
yani ni hivi TZ na Congo,Congo na TZ mpaka kieleweke.Ndio nchi ya kuungana nayo ili tuweze kutoa ulinzi ipasavyo na vijana wakapate kazi za Ujenzi wa barabara huko
Ivi wewe mwandishi umeandika Nini sasa .yaani unataka useme watanzania wote tunafurahia ukiukaji haki za binadamu.nikuuze huyo muasi amekatwa DRC au Tanzania.je sisi Tz tumetangaza vita na M23.kama sio .basi tumekiuka Sheria za kivita na haki za binadam.Afalu makosa ya M23.hayatupi garantii ya kujiingiza vita M23Kuna kelele mingi huko Congo zikilalamika Idara ya Uhamiaji Tanzania kukamata na kuzuia wanajeshi wa M23 na viongozi wao akiwemo Eric Nkuba na kuwarejesha kwenye nchi yao.
Vyombo vya habari vya Congo na Ufaransa vinalalamika kukamatwa kwa viongozi wao vikisema ni kinyume cha haki za binadamu. Nataka kuwauliza hayo mauaji yanayotokea COngo kwa miaka yapo kwa mujibu wa haki za binadamu? Je wanataka hao watu waje wakajifiche Tanzania kwa ajili ya kuja kutuchambulia hali yetu ya usalama?
Mimi nasema Uhamiaji msiruhusu hawa watu wakimbilie Tanzania wafungieni milango wabaki huko wapigwe na wanajeshi wetu kwa ajili ya kukomboa wananchi wasio na hatia.
Haiwezekani Wanajeshi wetu Congo wanarisk maisha yao kupambana na magaidi then magaidi wakimbie kuja kujificha Tanzania . Kuwapokea wanajeshi wanaotaka kujificha Tanzania ni kuwasaliti wanajeshi wetu waliopo Congo wakitafuta amani.
Jeshi la Uhamiaji lindeni mipaka hawa watu wasivuke kuja Tanzania. Wananchi wafichueni hawa wanajeshi wanaokuja kujificha huku kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na jeshi letu. Tanzania imekuwa mkombozi wa bara la Afrika na sasa bado tunaendelea.
Tusipokuwa serious kuwapiga hawa watu watakuja kufanya yale yaliyofanywa Kibiti.
NImeona wanaoleta propaganda wanataka kumchafua Mhe.Rais, lakini kwa hili hakuna kurudi nyuma tusimamie amani ya wenzetu. Congo ikiwa na amani hata sisi wafanyabiashara tunaopeleka mzigo huko kutoka bandari ya DAR es salaam tutafanya biashara na madereva wetu watakuwa salama.
KOngole vyombo vya dola kwa kusimamia mapambano dhidi ya waasi wanaosumbua wanajeshi wetu DRC Congo.
Kusoma Kwa kukalili1. Uhamiaj hawana mamlaka ya kuthibitisha ugaid.
2. Tanzania kama UN member ilipaswa kutoa hifadhi kwa hao watu kama inavyofanya kwa wakimbizi wengne.
3. Kitendo cha kurudisha mkimbiz alikotoka hususan wa congo ni kinyume na makubaliano ya EAC na haki za kibinaadam.
4. Ni sahihi kwa vyombo vya habari vya congo na mataifa ya ulaya kuilaumu Tanzania kwa kuwa tz gvt imeenda kinyume na conducts of civilized states.
Kuna watu hawataki huu ukweli watasema wewe ni mchochezi.Nchi za Ulaya ni adui mkubwa wa mtu mweusi
Haki gani za kibinadamu zimekiukwa!?Ivi wewe mwandishi umeandika Nini sasa .yaani unataka useme watanzania wote tunafurahia ukiukaji haki za binadamu.nikuuze huyo muasi amekatwa DRC au Tanzania.je sisi Tz tumetangaza vita na M23.kama sio .basi tumekiuka Sheria za kivita na haki za binadam.Afalu makosa ya M23.hayatupi garantii ya kujiingiza vita M23
Sio hilo tu la kuwazuia M23 kukimbilia nchini mwetu. Tuzuie bandari zetu kutumika kuingiza silaha kwa majeshi ya Rwanda. Tuko Congo kupigana na nani kama sio Rwanda ambayo ni mwanzilishi wa fujo maziwa makuu na mvamizi congo. Pia tanzania inafaa kumkataa balozi mpya wa rwanda anayependekezwa na Kigali. Huyo ni jasusi na atatumia nafasi hiyo kuhujumu mipango yetu ya usalama. Hao watu wamejaa hila mbaya kupindukia tuwe makini sana kuhusu wao.Kuna kelele mingi huko Congo zikilalamika Idara ya Uhamiaji Tanzania kukamata na kuzuia wanajeshi wa M23 na viongozi wao akiwemo Eric Nkuba na kuwarejesha kwenye nchi yao.
Vyombo vya habari vya Congo na Ufaransa vinalalamika kukamatwa kwa viongozi wao vikisema ni kinyume cha haki za binadamu. Nataka kuwauliza hayo mauaji yanayotokea COngo kwa miaka yapo kwa mujibu wa haki za binadamu? Je wanataka hao watu waje wakajifiche Tanzania kwa ajili ya kuja kutuchambulia hali yetu ya usalama?
Mimi nasema Uhamiaji msiruhusu hawa watu wakimbilie Tanzania wafungieni milango wabaki huko wapigwe na wanajeshi wetu kwa ajili ya kukomboa wananchi wasio na hatia.
Haiwezekani Wanajeshi wetu Congo wanarisk maisha yao kupambana na magaidi then magaidi wakimbie kuja kujificha Tanzania . Kuwapokea wanajeshi wanaotaka kujificha Tanzania ni kuwasaliti wanajeshi wetu waliopo Congo wakitafuta amani.
Jeshi la Uhamiaji lindeni mipaka hawa watu wasivuke kuja Tanzania. Wananchi wafichueni hawa wanajeshi wanaokuja kujificha huku kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na jeshi letu. Tanzania imekuwa mkombozi wa bara la Afrika na sasa bado tunaendelea.
Tusipokuwa serious kuwapiga hawa watu watakuja kufanya yale yaliyofanywa Kibiti.
NImeona wanaoleta propaganda wanataka kumchafua Mhe.Rais, lakini kwa hili hakuna kurudi nyuma tusimamie amani ya wenzetu. Congo ikiwa na amani hata sisi wafanyabiashara tunaopeleka mzigo huko kutoka bandari ya DAR es salaam tutafanya biashara na madereva wetu watakuwa salama.
KOngole vyombo vya dola kwa kusimamia mapambano dhidi ya waasi wanaosumbua wanajeshi wetu DRC Congo.