Kwanini vyombo vya magharibi ikiwemo Ufaransa vinalalamika kukamatwa kwa wanajeshi wa M23 Tanzania? Wananufaikaje na mgogoro wa Congo?

Kwanini vyombo vya magharibi ikiwemo Ufaransa vinalalamika kukamatwa kwa wanajeshi wa M23 Tanzania? Wananufaikaje na mgogoro wa Congo?

Kuna kelele mingi huko Congo zikilalamika Idara ya Uhamiaji Tanzania kukamata na kuzuia wanajeshi wa M23 na viongozi wao akiwemo Eric Nkuba na kuwarejesha kwenye nchi yao.

Vyombo vya habari vya Congo na Ufaransa vinalalamika kukamatwa kwa viongozi wao vikisema ni kinyume cha haki za binadamu. Nataka kuwauliza hayo mauaji yanayotokea COngo kwa miaka yapo kwa mujibu wa haki za binadamu? Je wanataka hao watu waje wakajifiche Tanzania kwa ajili ya kuja kutuchambulia hali yetu ya usalama?

Mimi nasema Uhamiaji msiruhusu hawa watu wakimbilie Tanzania wafungieni milango wabaki huko wapigwe na wanajeshi wetu kwa ajili ya kukomboa wananchi wasio na hatia.

Haiwezekani Wanajeshi wetu Congo wanarisk maisha yao kupambana na magaidi then magaidi wakimbie kuja kujificha Tanzania . Kuwapokea wanajeshi wanaotaka kujificha Tanzania ni kuwasaliti wanajeshi wetu waliopo Congo wakitafuta amani.

Jeshi la Uhamiaji lindeni mipaka hawa watu wasivuke kuja Tanzania. Wananchi wafichueni hawa wanajeshi wanaokuja kujificha huku kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na jeshi letu. Tanzania imekuwa mkombozi wa bara la Afrika na sasa bado tunaendelea.
Tusipokuwa serious kuwapiga hawa watu watakuja kufanya yale yaliyofanywa Kibiti.

NImeona wanaoleta propaganda wanataka kumchafua Mhe.Rais, lakini kwa hili hakuna kurudi nyuma tusimamie amani ya wenzetu. Congo ikiwa na amani hata sisi wafanyabiashara tunaopeleka mzigo huko kutoka bandari ya DAR es salaam tutafanya biashara na madereva wetu watakuwa salama.

KOngole vyombo vya dola kwa kusimamia mapambano dhidi ya waasi wanaosumbua wanajeshi wetu DRC Congo.
Safi sanaaaaaa
 
1. Uhamiaj hawana mamlaka ya kuthibitisha ugaid.

2. Tanzania kama UN member ilipaswa kutoa hifadhi kwa hao watu kama inavyofanya kwa wakimbizi wengne.

3. Kitendo cha kurudisha mkimbiz alikotoka hususan wa congo ni kinyume na makubaliano ya EAC na haki za kibinaadam.

4. Ni sahihi kwa vyombo vya habari vya congo na mataifa ya ulaya kuilaumu Tanzania kwa kuwa tz gvt imeenda kinyume na conducts of civilized states.
Jina lako linasadifu ulichokiandika.
 
Kuwaachia waasi kuja bongo na kujinafasi ni sawa umuone nyoka wa jirani yako kaingia room kwako halafu useme hamna shida!

Tanzania ina jukumu la kusaidia DRC kukomesha uasi na kuua wote wanaoshambulia mashariki ya Congo maana waasi wa M23 wakitamalaki DRC wakapata nguvu kubwa watasaidiwa na Rwanda na Uganda zisiyo na rasilimali wala bandari kuvamia bongo , tulimuona Idi Amin.

Huwa inasemwa ukila nyama ya mtu huwezi kuacha, M23 wakikamilisha mission ya DRC watawaza sehemu ingine na si ajabu wakiichagua bongo na kuivamia!! Siku zote ogopa sana mtu masikini aliekamata bunduki huwa hana cha kupoteza, ingependeza bongo kuongeza vikosi DRC maana ni kwa faida ya bongo pia kuua na kutokomeza waasi wa M23 maana wana hasira pia na bongo kwa kulinda amani DRc kwa miaka mingi

Waasi wa M23 ni hatari kwa usalama wa nchi zote za maziwa makuu. Hawa ni wa kutokomeza na kuogopa kama ukoma, mwenzako akinyolewa we tia maji!!


Tz ni nchi huru haipaswi kupangiwa cha kufanya katika kulinda usalama wake, kukamata waasi na kuwakabidhi DRC ni sahihi kabisa. Yaani nchi ifuge magaidi wa Congo hiyo hakuna!
 
Kuna kelele mingi huko Congo zikilalamika Idara ya Uhamiaji Tanzania kukamata na kuzuia wanajeshi wa M23 na viongozi wao akiwemo Eric Nkuba na kuwarejesha kwenye nchi yao.

Vyombo vya habari vya Congo na Ufaransa vinalalamika kukamatwa kwa viongozi wao vikisema ni kinyume cha haki za binadamu. Nataka kuwauliza hayo mauaji yanayotokea COngo kwa miaka yapo kwa mujibu wa haki za binadamu? Je wanataka hao watu waje wakajifiche Tanzania kwa ajili ya kuja kutuchambulia hali yetu ya usalama?

Mimi nasema Uhamiaji msiruhusu hawa watu wakimbilie Tanzania wafungieni milango wabaki huko wapigwe na wanajeshi wetu kwa ajili ya kukomboa wananchi wasio na hatia.

Haiwezekani Wanajeshi wetu Congo wanarisk maisha yao kupambana na magaidi then magaidi wakimbie kuja kujificha Tanzania . Kuwapokea wanajeshi wanaotaka kujificha Tanzania ni kuwasaliti wanajeshi wetu waliopo Congo wakitafuta amani.

Jeshi la Uhamiaji lindeni mipaka hawa watu wasivuke kuja Tanzania. Wananchi wafichueni hawa wanajeshi wanaokuja kujificha huku kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na jeshi letu. Tanzania imekuwa mkombozi wa bara la Afrika na sasa bado tunaendelea.
Tusipokuwa serious kuwapiga hawa watu watakuja kufanya yale yaliyofanywa Kibiti.

NImeona wanaoleta propaganda wanataka kumchafua Mhe.Rais, lakini kwa hili hakuna kurudi nyuma tusimamie amani ya wenzetu. Congo ikiwa na amani hata sisi wafanyabiashara tunaopeleka mzigo huko kutoka bandari ya DAR es salaam tutafanya biashara na madereva wetu watakuwa salama.

KOngole vyombo vya dola kwa kusimamia mapambano dhidi ya waasi wanaosumbua wanajeshi wetu DRC Congo.
Ivi wewe mwandishi umeandika Nini sasa .yaani unataka useme watanzania wote tunafurahia ukiukaji haki za binadamu.nikuuze huyo muasi amekatwa DRC au Tanzania.je sisi Tz tumetangaza vita na M23.kama sio .basi tumekiuka Sheria za kivita na haki za binadam.Afalu makosa ya M23.hayatupi garantii ya kujiingiza vita M23
 
1. Uhamiaj hawana mamlaka ya kuthibitisha ugaid.

2. Tanzania kama UN member ilipaswa kutoa hifadhi kwa hao watu kama inavyofanya kwa wakimbizi wengne.

3. Kitendo cha kurudisha mkimbiz alikotoka hususan wa congo ni kinyume na makubaliano ya EAC na haki za kibinaadam.

4. Ni sahihi kwa vyombo vya habari vya congo na mataifa ya ulaya kuilaumu Tanzania kwa kuwa tz gvt imeenda kinyume na conducts of civilized states.
Kusoma Kwa kukalili
,huyo jamaa ni mkombozi??
 
Ivi wewe mwandishi umeandika Nini sasa .yaani unataka useme watanzania wote tunafurahia ukiukaji haki za binadamu.nikuuze huyo muasi amekatwa DRC au Tanzania.je sisi Tz tumetangaza vita na M23.kama sio .basi tumekiuka Sheria za kivita na haki za binadam.Afalu makosa ya M23.hayatupi garantii ya kujiingiza vita M23
Haki gani za kibinadamu zimekiukwa!?
Kwani hao ni wakimbizi au waasi!?
Yani muasi atoroke aingie nchini halafu umuache!?
Hufai kuwa kiongozi wewe maana utateteresha amani ya nchi.
 
Kuna kelele mingi huko Congo zikilalamika Idara ya Uhamiaji Tanzania kukamata na kuzuia wanajeshi wa M23 na viongozi wao akiwemo Eric Nkuba na kuwarejesha kwenye nchi yao.

Vyombo vya habari vya Congo na Ufaransa vinalalamika kukamatwa kwa viongozi wao vikisema ni kinyume cha haki za binadamu. Nataka kuwauliza hayo mauaji yanayotokea COngo kwa miaka yapo kwa mujibu wa haki za binadamu? Je wanataka hao watu waje wakajifiche Tanzania kwa ajili ya kuja kutuchambulia hali yetu ya usalama?

Mimi nasema Uhamiaji msiruhusu hawa watu wakimbilie Tanzania wafungieni milango wabaki huko wapigwe na wanajeshi wetu kwa ajili ya kukomboa wananchi wasio na hatia.

Haiwezekani Wanajeshi wetu Congo wanarisk maisha yao kupambana na magaidi then magaidi wakimbie kuja kujificha Tanzania . Kuwapokea wanajeshi wanaotaka kujificha Tanzania ni kuwasaliti wanajeshi wetu waliopo Congo wakitafuta amani.

Jeshi la Uhamiaji lindeni mipaka hawa watu wasivuke kuja Tanzania. Wananchi wafichueni hawa wanajeshi wanaokuja kujificha huku kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na jeshi letu. Tanzania imekuwa mkombozi wa bara la Afrika na sasa bado tunaendelea.
Tusipokuwa serious kuwapiga hawa watu watakuja kufanya yale yaliyofanywa Kibiti.

NImeona wanaoleta propaganda wanataka kumchafua Mhe.Rais, lakini kwa hili hakuna kurudi nyuma tusimamie amani ya wenzetu. Congo ikiwa na amani hata sisi wafanyabiashara tunaopeleka mzigo huko kutoka bandari ya DAR es salaam tutafanya biashara na madereva wetu watakuwa salama.

KOngole vyombo vya dola kwa kusimamia mapambano dhidi ya waasi wanaosumbua wanajeshi wetu DRC Congo.
Sio hilo tu la kuwazuia M23 kukimbilia nchini mwetu. Tuzuie bandari zetu kutumika kuingiza silaha kwa majeshi ya Rwanda. Tuko Congo kupigana na nani kama sio Rwanda ambayo ni mwanzilishi wa fujo maziwa makuu na mvamizi congo. Pia tanzania inafaa kumkataa balozi mpya wa rwanda anayependekezwa na Kigali. Huyo ni jasusi na atatumia nafasi hiyo kuhujumu mipango yetu ya usalama. Hao watu wamejaa hila mbaya kupindukia tuwe makini sana kuhusu wao.
 
Back
Top Bottom