Kwanini wa Oman wapewe Airport ya KIA na sio Zanzibar?!!

Kwanini wa Oman wapewe Airport ya KIA na sio Zanzibar?!!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tukiacha uchawa tujiulize tusiwe tunashabikia vitu tu kama misukule?

Airport zote za KIA na Zanzibar zinategemea watalii. Sasa ni kwanini kama kuna sababu tuambiwe tunasikia airport ya KIA wanataka kupewa wa Oman kwanini wasipewe na airport ya Zanzibar kama kweli ni kwa manufaa ya taifa?

Inabidi tuanze kuhoji maana huu uuzwaji sasa unazua maswali!. Kama ni kukuza watalii je Zanzibar airport yao ina tofauti gani na hii ya KIA? Zote zinategemea utalii

Inaelekea wanauza wakijua miaka 5 ijayo watarudi kwao Zanzibar na kuwaachia airport yenu huko bara. Waziri mzanzibari, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro naye kawekwa kimtego Mzanzibari na Mama Mzanzibari wa wanaoza uendeshaji wa airport bila sababu za msingi. Kama mnakumbuka hata wakati mkataba unaisha pale KIA ilibidi bunge lilazimishe kujua ukweli maana walishaanza siri siri.

Vilevile Serikali itueleze je ni kweli au uongo kwamba wameeza misiti kwa waarabu kwenye mikataba ya carbon credits
 

Attachments

  • IMG_6671.MOV
    18.9 MB
Tukiacha uchawa tujiulize tusiwe tunashabikia vitu tu kama misukule?

Airport zote za KIA na Zanzibar zinategemea watalii. Sasa ni kwanini kama kuna sababu tuambiwe tunasikia airport ya KIA wanataka kupewa wa Oman kwanini wasipewe na airport ya Zanzibar kama kweli ni kwa manufaa ya taifa?

Inabidi tuanze kuhoji maana huu uuzwaji sasa unazua maswali!. Kama ni kukuza watalii je Zanzibar airport yao ina tofauti gani na hii ya KIA? Zote zinategemea utalii

Inaelekea wanauza wakijua miaka 5 ijayo watarudi kwao Zanzibar na kuwaachia airport yenu huko bara. Waziri mzanzibari, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro naye kawekwa kimtego Mzanzibari na Mama Mzanzibari wa wanaoza uendeshaji wa airport bila sababu za msingi. Kama mnakumbuka hata wakati mkataba unaisha pale KIA ilibidi bunge lilazimishe kujua ukweli maana walishaanza siri siri.

Vilevile Serikali itueleze je ni kweli au uongo kwamba wameeza misiti kwa waarabu kwenye mikataba ya carbon credits
Acha upuuzi leta hoja acha udini na ukanda.
 
Tukiacha uchawa tujiulize tusiwe tunashabikia vitu tu kama misukule?

Airport zote za KIA na Zanzibar zinategemea watalii. Sasa ni kwanini kama kuna sababu tuambiwe tunasikia airport ya KIA wanataka kupewa wa Oman kwanini wasipewe na airport ya Zanzibar kama kweli ni kwa manufaa ya taifa?

Inabidi tuanze kuhoji maana huu uuzwaji sasa unazua maswali!. Kama ni kukuza watalii je Zanzibar airport yao ina tofauti gani na hii ya KIA? Zote zinategemea utalii

Inaelekea wanauza wakijua miaka 5 ijayo watarudi kwao Zanzibar na kuwaachia airport yenu huko bara. Waziri mzanzibari, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro naye kawekwa kimtego Mzanzibari na Mama Mzanzibari wa wanaoza uendeshaji wa airport bila sababu za msingi. Kama mnakumbuka hata wakati mkataba unaisha pale KIA ilibidi bunge lilazimishe kujua ukweli maana walishaanza siri siri.

Vilevile Serikali itueleze je ni kweli au uongo kwamba wameeza misiti kwa waarabu kwenye mikataba ya carbon credits
Lisu akisema mnamuona chizi wabongo akili zetu za kijinga sana
 
Vilevile Serikali itueleze je ni kweli au uongo kwamba wameeza misiti kwa waarabu kwenye mikataba ya carbon credits
Inasemekana kampuni iitwayo Blue Carbon LLC ya Dubai imekabidhiwa hekta milioni 8 za misitu..
 
Kusema ukweli haya mambo yanvyoenda nadhani hata yule mkwele mwenyewe Anaona waliingia Cha kike hata kama kuna maslahi

Nina Uhakika ile Deal ya DP WORD
hata mkwele asingekibari kuingia mkataba ule

Nitakuelekeza yule MAMA anafaidika vipi na hii mikataba ambapo hata kama ikiletwa wazi wewe hutaona alipofaidika

Mfano DP WORD DUBAI ni kampuni mtoto
Katika KAMPUNI mama
Ambapo hawa DP WORD DUBAI wameingi mkataba TANZANIA
Lakini DP WORD DUBAI wanakampuni MAMA
ambayo hiyo KAMPUNI MAMA ina ina KAMPUNI watoto katika NCHI mbali mbali
Sasa huyu MAMA TOZO anafaidikaje
Anapewa HISA katika hizo KAMPUNI ZA DP WORD
katika NCHI za mbali of cause ana uhakika kupewa PESA bila kufanya kazi yoyote mpka anakufa na WAJUKUU zake wataendelea kula hizo pesa
Kwa MTAJI wa mari za wadanganyika Huyo BIBI TOZO hana huruma kabisa atatuuzia kila kitu
Mana kadili anavyouza vitu kwa bei ya kutupa HISA kwake zinaongezeka huko nchi za mbali

Hvyo ndivyo huyu BIBI TOZO alivyoongea na WAARABU hiyo DEAL kipindi kile aliyoendaha HUKO falme za kiarabu kipindi kile

Lakini namuambia hakuna aliyekura mari ya UMA akabaki salama Karma itatembea hata kizazi chake cha tatu
Kwa anayotufanyia WATANZANIA inauma sana
 
Inaelekea wanauza wakijua miaka 5 ijayo watarudi kwao Zanzibar na kuwaachia airport yenu huko bara. Waziri mzanzibari, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro naye kawekwa kimtego Mzanzibari na Mama Mzanzibari
Huu ni ubaguzi!.
Nimeuandikia nyuzi mbili
- Hoja za Utanganyika na Uzanzibari ni Hoja Muflis za Ujinga wa Ukosefu Elimu ya Uraia. Tuwatoe Ujinga Huu Kwa Elimu ya Uraia au Tuwaache na Ujinga Wao?

- Suluhisho la Kudumu la Kero Zote za Muungano, na Dawa ya Kutibu Sumu ya Ubaguzi wa Utanganyika na Uzanzibari ni Kuwa na Serikali Moja ya JMT?
P.
 
Kwa sababu Zanzibar haina wanyama pori wakupakiwa kwenye ndege kupelekwa Uarabuni.
 
Tukiacha uchawa tujiulize tusiwe tunashabikia vitu tu kama misukule?

Airport zote za KIA na Zanzibar zinategemea watalii. Sasa ni kwanini kama kuna sababu tuambiwe tunasikia airport ya KIA wanataka kupewa wa Oman kwanini wasipewe na airport ya Zanzibar kama kweli ni kwa manufaa ya taifa?

Inabidi tuanze kuhoji maana huu uuzwaji sasa unazua maswali!. Kama ni kukuza watalii je Zanzibar airport yao ina tofauti gani na hii ya KIA? Zote zinategemea utalii

Inaelekea wanauza wakijua miaka 5 ijayo watarudi kwao Zanzibar na kuwaachia airport yenu huko bara. Waziri mzanzibari, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro naye kawekwa kimtego Mzanzibari na Mama Mzanzibari wa wanaoza uendeshaji wa airport bila sababu za msingi. Kama mnakumbuka hata wakati mkataba unaisha pale KIA ilibidi bunge lilazimishe kujua ukweli maana walishaanza siri siri.

Vilevile Serikali itueleze je ni kweli au uongo kwamba wameeza misiti kwa waarabu kwenye mikataba ya carbon credits


Kuna vitu ambavyo nakaribisha hoja
1 . Kwa wanaosema ubaguzi mtueleze kwanini KIA na sio airport ya Zanzibar?
2. Kwanini haya mambo ya uwekezaji wa namna hii yanaenda ya viongozi wa Zanzibar mfano kwenye airport waziri ni?

Kwa wale wanaosema hatupendi uwekezaji

1. Kwanini tuwekeze sehemu ambazo hazina shida ya uwekezaji. KIA haina shida ya watalii sasa kwanini tunahijali uendeshaji kutoka kwa waarabu?

Kwanini wasiwekeze kwenye sehemu nyingine wanakimbilia sehemu ambazo Yaani tayari kuna pesa hakuna shida yeyote eti uwekezaji? Huu ni ukusanyaji pesa tu hakuna lingine. Kuna Kilimo, viwanda, sehemu nyingine zote hawataki kuwekeza ni airport ambayo ina abiria 1M kwa mwaka? Kuna shida gani airport ya kuwaita waarabu ambayo ipo KIA na sio Zanzibar?
 
Back
Top Bottom