Kwanini wa Oman wapewe Airport ya KIA na sio Zanzibar?!!

Kwanini wa Oman wapewe Airport ya KIA na sio Zanzibar?!!

Kuna vitu ambavyo nakaribisha hoja
1 . Kwa wanaosema ubaguzi mtueleze kwanini KIA na sio airport ya Zanzibar?
2. Kwanini haya mambo ya uwekezaji wa namna hii yanaenda ya viongozi wa Zanzibar mfano kwenye airport waziri ni?

Kwa wale wanaosema hatupendi uwekezaji

1. Kwanini tuwekeze sehemu ambazo hazina shida ya uwekezaji. KIA haina shida ya watalii sasa kwanini tunahijali uendeshaji kutoka kwa waarabu?

Kwanini wasiwekeze kwenye sehemu nyingine wanakimbilia sehemu ambazo Yaani tayari kuna pesa hakuna shida yeyote eti uwekezaji? Huu ni ukusanyaji pesa tu hakuna lingine. Kuna Kilimo, viwanda, sehemu nyingine zote hawataki kuwekeza ni airport ambayo ina abiria 1M kwa mwaka? Kuna shida gani airport ya kuwaita waarabu ambayo ipo KIA na sio Zanzibar?
Mbona unajipa tabu sana ndugu, si uende moja kwa moja kwenye hoja kuwa unahitaji muwekezaji wa ki-israel au mzungu?!! Unazunguuuuka!

Huyo mama kamwe hamutomuweza kwa hoja zenu mufilisi hizo, wa,emshindwa waliokuwa ikulu kina bashiru itakuwa nyie nyumbu!! Amewekwa na Mungu pale na atatolewa na Mungu.
 
Tukiacha uchawa tujiulize tusiwe tunashabikia vitu tu kama misukule?

Airport zote za KIA na Zanzibar zinategemea watalii. Sasa ni kwanini kama kuna sababu tuambiwe tunasikia airport ya KIA wanataka kupewa wa Oman kwanini wasipewe na airport ya Zanzibar kama kweli ni kwa manufaa ya taifa?

Inabidi tuanze kuhoji maana huu uuzwaji sasa unazua maswali!. Kama ni kukuza watalii je Zanzibar airport yao ina tofauti gani na hii ya KIA? Zote zinategemea utalii

Inaelekea wanauza wakijua miaka 5 ijayo watarudi kwao Zanzibar na kuwaachia airport yenu huko bara. Waziri mzanzibari, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro naye kawekwa kimtego Mzanzibari na Mama Mzanzibari wa wanaoza uendeshaji wa airport bila sababu za msingi. Kama mnakumbuka hata wakati mkataba unaisha pale KIA ilibidi bunge lilazimishe kujua ukweli maana walishaanza siri siri.

Vilevile Serikali itueleze je ni kweli au uongo kwamba wameeza misiti kwa waarabu kwenye mikataba ya carbon credits
Kibaya ni wasomi pumbavu na TISS yapo yapo tu wana enjmoy vibahasha na ofa za kwenda kula Raha nje, mama anawatumia kama rubber stamp, hawana Cha ku reason DG bandari hewa, wa TAA hana maana, ,tanapa na madudu ya hovyo kabisa, wanasheria serikalin just enjoying tips na offers za kusafiri abroad, TISS bize na visuti suti vyao hawana maana kabisa Kwa nchi
 
Tukiacha uchawa tujiulize tusiwe tunashabikia vitu tu kama misukule?

Airport zote za KIA na Zanzibar zinategemea watalii. Sasa ni kwanini kama kuna sababu tuambiwe tunasikia airport ya KIA wanataka kupewa wa Oman kwanini wasipewe na airport ya Zanzibar kama kweli ni kwa manufaa ya taifa?

Inabidi tuanze kuhoji maana huu uuzwaji sasa unazua maswali!. Kama ni kukuza watalii je Zanzibar airport yao ina tofauti gani na hii ya KIA? Zote zinategemea utalii

Inaelekea wanauza wakijua miaka 5 ijayo watarudi kwao Zanzibar na kuwaachia airport yenu huko bara. Waziri mzanzibari, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro naye kawekwa kimtego Mzanzibari na Mama Mzanzibari wa wanaoza uendeshaji wa airport bila sababu za msingi. Kama mnakumbuka hata wakati mkataba unaisha pale KIA ilibidi bunge lilazimishe kujua ukweli maana walishaanza siri siri.

Vilevile Serikali itueleze je ni kweli au uongo kwamba wameeza misiti kwa waarabu kwenye mikataba ya carbon credits
Airport na bandari za Zanzibar zinaendeshwa na Wafaransa nadhani pia kuna haja kungalia Arusha Airport ambayo ina miruko mingi ila menejiment ni ya enzi za mawe.
 
Kuna vitu ambavyo nakaribisha hoja
1 . Kwa wanaosema ubaguzi mtueleze kwanini KIA na sio airport ya Zanzibar?
2. Kwanini haya mambo ya uwekezaji wa namna hii yanaenda ya viongozi wa Zanzibar mfano kwenye airport waziri ni?

Kwa wale wanaosema hatupendi uwekezaji

1. Kwanini tuwekeze sehemu ambazo hazina shida ya uwekezaji. KIA haina shida ya watalii sasa kwanini tunahijali uendeshaji kutoka kwa waarabu?

Kwanini wasiwekeze kwenye sehemu nyingine wanakimbilia sehemu ambazo Yaani tayari kuna pesa hakuna shida yeyote eti uwekezaji? Huu ni ukusanyaji pesa tu hakuna lingine. Kuna Kilimo, viwanda, sehemu nyingine zote hawataki kuwekeza ni airport ambayo ina abiria 1M kwa mwaka? Kuna shida gani airport ya kuwaita waarabu ambayo ipo KIA na sio Zanzibar?
Ungekuwa na akili kidogo tu, kwenye kichwa chako na siyo usaha basi ungegundua ya kuwa ZNZ tayari airport yake Yuko mwekezaji Muarabu na bandarini yupo muwekezaji mfaransa.
 
Zanzibar ina watetezi wake wenye uchungu na raslimali za nchi yao.

Tanganyika ni kama yatima, haina mtetezi. Imegeuzwa "shamba la Bibi" wanavuna tu watakavyo
Tanganyika ni wasengerema baridi, how come kanchi kama znz kanaiburuza tanganyika daily
 
Tukiacha uchawa tujiulize tusiwe tunashabikia vitu tu kama misukule?

Airport zote za KIA na Zanzibar zinategemea watalii. Sasa ni kwanini kama kuna sababu tuambiwe tunasikia airport ya KIA wanataka kupewa wa Oman kwanini wasipewe na airport ya Zanzibar kama kweli ni kwa manufaa ya taifa?

Inabidi tuanze kuhoji maana huu uuzwaji sasa unazua maswali!. Kama ni kukuza watalii je Zanzibar airport yao ina tofauti gani na hii ya KIA? Zote zinategemea utalii

Inaelekea wanauza wakijua miaka 5 ijayo watarudi kwao Zanzibar na kuwaachia airport yenu huko bara. Waziri mzanzibari, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro naye kawekwa kimtego Mzanzibari na Mama Mzanzibari wa wanaoza uendeshaji wa airport bila sababu za msingi. Kama mnakumbuka hata wakati mkataba unaisha pale KIA ilibidi bunge lilazimishe kujua ukweli maana walishaanza siri siri.

Vilevile Serikali itueleze je ni kweli au uongo kwamba wameeza misiti kwa waarabu kwenye mikataba ya carbon credits

Wakati wanapewa Swissport kwa mgongo wa KADCO , kipwito chako kilikuwa wapi
Au ugalatia unakuwasha
Na hii ndio faida waliopata nchi nzima, Pathetic!
1717370468554.png
 
Kia kwasababu inahitaji uwekezaji, Zanzibar tayari yupo
P


Uwekezaji gani unahitaji hasa mbona hata plan ya paweje mpaka leo hauko wazi?

Mimi binafsi nimempa Mama chance sana lakini amekuwa disappointment mpaka sasa. Kapata chance ya katiba kavurunda Kwa ubinafsi, kapata chance ya kuwa mwanzi tunaona mikataba ya kisirisiri mfano DP world! Siri za nini kwanini mkataba usiwe wazi. Sasa wanakuja wa Oman bila tender wala kujua hasa tunapata nini🤔 halafu tusihoji. Mama haja prove kwangu bado ni mtu wa kuaminika serikali yake imejaa uongo uongo.

Nakuja TZ mwisho wa mwezi nitafanya fair assessment lakini P, wengi tumempa chance. Abadilike sisi tupo kwa nchi sio mtu
 
Kibaya ni wasomi pumbavu na TISS yapo yapo tu wana enjmoy vibahasha na ofa za kwenda kula Raha nje, mama anawatumia kama rubber stamp, hawana Cha ku reason DG bandari hewa, wa TAA hana maana, ,tanapa na madudu ya hovyo kabisa, wanasheria serikalin just enjoying tips na offers za kusafiri abroad, TISS bize na visuti suti vyao hawana maana kabisa Kwa nchi
🤣 🤣 🤣
 
Tanzania tuko milioni sitini na nne huko lakini hakuna watu wenye akili, kila kitu tunalipa tàifa lenye watu milioni mbili.
Hivi Dubai Wana vyuo vikuu vingapi? Wana maprofesa wangapi? Wana mitaji ya sh ngapi ambayo Tanzania hatuna?
Tukiuza kila kitu wajukuu zetu watarithi Nini kwenye nchi Yao? Au watakwenda kufanya kazi Dubai na Abu Dhabi?
 
Tukiacha uchawa tujiulize tusiwe tunashabikia vitu tu kama misukule?

Airport zote za KIA na Zanzibar zinategemea watalii. Sasa ni kwanini kama kuna sababu tuambiwe tunasikia airport ya KIA wanataka kupewa wa Oman kwanini wasipewe na airport ya Zanzibar kama kweli ni kwa manufaa ya taifa?

Inabidi tuanze kuhoji maana huu uuzwaji sasa unazua maswali!. Kama ni kukuza watalii je Zanzibar airport yao ina tofauti gani na hii ya KIA? Zote zinategemea utalii

Inaelekea wanauza wakijua miaka 5 ijayo watarudi kwao Zanzibar na kuwaachia airport yenu huko bara. Waziri mzanzibari, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro naye kawekwa kimtego Mzanzibari na Mama Mzanzibari wa wanaoza uendeshaji wa airport bila sababu za msingi. Kama mnakumbuka hata wakati mkataba unaisha pale KIA ilibidi bunge lilazimishe kujua ukweli maana walishaanza siri siri.

Vilevile Serikali itueleze je ni kweli au uongo kwamba wameeza misiti kwa waarabu kwenye mikataba ya carbon credits
Mama ana binadamu zake waarabu wa Oman tutaipata fresh
 
Back
Top Bottom