Kwanini Waafrika tusiwekeze kwenye Uchawi?

Kwanini Waafrika tusiwekeze kwenye Uchawi?

mpiga era

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
2,078
Reaction score
2,266
Habarini wakubwa na wadogo. !
Ebu leo tuzungumzie kuhusu utofauti wa maisha katika bara la Africa na mabara ya ulaya tumekua tukishuhudia mambo makubwa sana kutoka kwenye mataifa ya ulaya kuanzia karne ya 16 hivi ., ikiwemo swala zima la teknolojia
Kiukweli tusiwe wanafiki wenzetu wamefika mbali sana
Mfano wametengeneza vitu vikubwa sana mfano rocketi, ndege kubwa , mashine,maroboti ,mitambo mikubwa sana n k
Ambapo waafrica tunashindwa hata sindano tu

Naona ni bora na sisi waafrica tuendeleze kitu kinaitwa "Uchawi"
Binafsi sio mchawi ila uchawi wetu waafrica tukiutumia vizuri hata mabara mengine na sisi tusingeweza kua hapa tulipo
Mfano mchawi wa kiafrica anaweza kutengeneza usafiri
Kama.
Ungo ni kama Ndege ya mzungu
Kupanda fisi. Ni kama piki piki ya mzungu
N.k
Hivyo. Uchawi huu tungeutumia vizuri bila ya kurogana naamini tungekua tumepiga hatua kimaendeleo tena sana tu...!
maana uchawi ndio tunaweza

Unless hatutakaa tuwafikie wazungu maana wefika mbali sana
Hivyo waafrika tuache kurogana badala yake tufanyie maendeleo
 
Habarini wakubwa na wadogo. !
Ebu leo tuzungumzie kuhusu utofauti wa maisha katika bara la Africa na mabara ya ulaya tumekua tukishuhudia mambo makubwa sana kutoka kwenye mataifa ya ulaya kuanzia karne ya 16 hivi ., ikiwemo swala zima la teknolojia
Kiukweli tusiwe wanafiki wenzetu wamefika mbali sana
Mfano wametengeneza vitu vikubwa sana mfano rocketi, ndege kubwa , mashine,maroboti ,mitambo mikubwa sana n k
Ambapo waafrica tunashindwa hata sindano tu

Naona ni bora na sisi waafrica tuendeleze kitu kinaitwa "Uchawi"
Binafsi sio mchawi ila uchawi wetu waafrica tukiutumia vizuri hata mabara mengine na sisi tusingeweza kua hapa tulipo
Mfano mchawi wa kiafrica anaweza kutengeneza usafiri
Kama.
Ungo ni kama Ndege ya mzungu
Kupanda fisi. Ni kama piki piki ya mzungu
N.k
Hivyo. Uchawi huu tungeutumia vizuri bila ya kurogana naamini tungekua tumepiga hatua kimaendeleo tena sana tu...!
maana uchawi ndio tunaweza

Unless hatutakaa tuwafikie wazungu maana wefika mbali sana
Hivyo waafrika tuache kurogana badala yake tufanyie maendeleo
1473879752693.jpg
 
Hao wazungu. .wachina. ..wahindi nk. Wamefika walipo kwa sababu ya UCHAWI. ....MIND CONTROL. ..ndiyo maana wakija kwetu tunawaona kama vimungu vidogo. ..mkumbuke yule babu wa kikombe...kweli tusirogane wenyewe kwa wenyewe BALI TUIROGE DUNIA NZIMA WATULETEE MALI NA VIPAWA NCHINI KWETU TANZANIA milele yote. ..amen
 
Hata tukiwekeza utasikua Tena kwenye mashindano USA ndio wanaongoza.
 
Hao wazungu. .wachina. ..wahindi nk. Wamefika walipo kwa sababu ya UCHAWI. ....MIND CONTROL. ..ndiyo maana wakija kwetu tunawaona kama vimungu vidogo. ..mkumbuke yule babu wa kikombe...kweli tusirogane wenyewe kwa wenyewe BALI TUIROGE DUNIA NZIMA WATULETEE MALI NA VIPAWA NCHINI KWETU TANZANIA milele yote. ..amen
hivi babu loliondo kaishia wap
 
Wazo lako ni zuri, ila mbona nchi kama Nigeria uchawi wao unawalipa, wakuta kijana mchawi anamiliki mavitu ya kifahari.
Lakin kwa Tz mchawi mpk aishi nyumba ya udongo, mchawi awe mzee, mchawi aje ucku akusumbue sumbue ndio apata raha mwenyewe.

Nadhani tungeangalia wazo lako kwa jicho la 3.

Teh teh teh, UCHAWI NI DHAMBI.
 
Wazo lako ni zuri, ila mbona nchi kama Nigeria uchawi wao unawalipa, wakuta kijana mchawi anamiliki mavitu ya kifahari.
Lakin kwa Tz mchawi mpk aishi nyumba ya udongo, mchawi awe mzee, mchawi aje ucku akusumbue sumbue ndio apata raha mwenyewe.

Nadhani tungeangalia wazo lako kwa jicho la 3.

Teh teh teh, UCHAWI NI DHAMBI.
mshana nae anaishigi kwenye kinyumba cha udongi au yeye niwakidigity
 
Hatuwezi kuwekeza kwa sababu hatuna akili za kiwekezaji.Wenzetu wamewekeza vizuri sana na ukitaka kuthibitisha hili ingia google kisha andika"donald marshal revolution"
 
Wazima wapo kazin acha mtt mie nikae pemben nisikilize maneno ya watu wazima
 
Back
Top Bottom