Kwanini Waafrika tusiwekeze kwenye Uchawi?

Kwanini Waafrika tusiwekeze kwenye Uchawi?

Huko mabara mengine kuna wachawi kushinda walio Africa.Tuseme kungekuwa na mashindano ya uchawi Olympic hata medal ya shaba tusingepata,,hata ngono starehe yetu bado tuko nyuma,,,sisi tuna safari ndefu bado.
 
Huko mabara mengine kuna wachawi kushinda walio Africa.Tuseme kungekuwa na mashindano ya uchawi Olympic hata medal ya shaba tusingepata,,hata ngono starehe yetu bado tuko nyuma,,,sisi tuna safari ndefu bado.
Wazo nzuri... ila wenzetu wazungu uchawi hawajaanza leo wala jana. tokea miaka 5000 kabla Yesu ajazaliwa walikua walishaanza uchawi.
 
Habarini wakubwa na wadogo. !
Ebu leo tuzungumzie kuhusu utofauti wa maisha katika bara la Africa na mabara ya ulaya tumekua tukishuhudia mambo makubwa sana kutoka kwenye mataifa ya ulaya kuanzia karne ya 16 hivi ., ikiwemo swala zima la teknolojia
Kiukweli tusiwe wanafiki wenzetu wamefika mbali sana
Mfano wametengeneza vitu vikubwa sana mfano rocketi, ndege kubwa , mashine,maroboti ,mitambo mikubwa sana n k
Ambapo waafrica tunashindwa hata sindano tu

Naona ni bora na sisi waafrica tuendeleze kitu kinaitwa "Uchawi"
Binafsi sio mchawi ila uchawi wetu waafrica tukiutumia vizuri hata mabara mengine na sisi tusingeweza kua hapa tulipo
Mfano mchawi wa kiafrica anaweza kutengeneza usafiri
Kama.
Ungo ni kama Ndege ya mzungu
Kupanda fisi. Ni kama piki piki ya mzungu
N.k
Hivyo. Uchawi huu tungeutumia vizuri bila ya kurogana naamini tungekua tumepiga hatua kimaendeleo tena sana tu...!
maana uchawi ndio tunaweza

Unless hatutakaa tuwafikie wazungu maana wefika mbali sana
Hivyo waafrika tuache kurogana badala yake tufanyie maendeleo



hehehee pia mchawi wa Kiafrika anaweza kuja akajamiiana na we bila wewe kujua ni yeye...wewe unamuota mwinginee

Nasema hivi kwa evidence....Siku moja nilikutana na mbaba mmoja huyo baba ni jirani na nasikiaga kuwa anamambo ya kichawi (MGANGA)...akawa km ana ainafulani ya kunitaka...mimi nikawa namjibu kijeuri jeuri....siku nimelala nikaota mtu fulani ambaye nafanya nae kazi mwanaume kanijia tunajamiiana.....Kuamka asubuhi kukutana na yule baba akaniuliza leo umeota nini yaani kama vile anataka kuniambia kuwa kuna tukio ili nioni yeye ni mganga kweli....Aliponiuliza nikamjibu hakuna tukio lolote, akaniangaliaa akatabasamu...Huku kichwani nikamuwazia ahaaa kumbe wewe ndio umenifanyia vile....hapo hapo nikakasirika sikutaka kuongea nae tena...

Wachawi wa Kitanzania kiboko...Ila maendeleo hakuna sielewi kwanini wasitumie uchawi kwa maendeleo
 
Habarini wakubwa na wadogo. !
Ebu leo tuzungumzie kuhusu utofauti wa maisha katika bara la Africa na mabara ya ulaya tumekua tukishuhudia mambo makubwa sana kutoka kwenye mataifa ya ulaya kuanzia karne ya 16 hivi ., ikiwemo swala zima la teknolojia
Kiukweli tusiwe wanafiki wenzetu wamefika mbali sana
Mfano wametengeneza vitu vikubwa sana mfano rocketi, ndege kubwa , mashine,maroboti ,mitambo mikubwa sana n k
Ambapo waafrica tunashindwa hata sindano tu

Naona ni bora na sisi waafrica tuendeleze kitu kinaitwa "Uchawi"
Binafsi sio mchawi ila uchawi wetu waafrica tukiutumia vizuri hata mabara mengine na sisi tusingeweza kua hapa tulipo
Mfano mchawi wa kiafrica anaweza kutengeneza usafiri
Kama.
Ungo ni kama Ndege ya mzungu
Kupanda fisi. Ni kama piki piki ya mzungu
N.k
Hivyo. Uchawi huu tungeutumia vizuri bila ya kurogana naamini tungekua tumepiga hatua kimaendeleo tena sana tu...!
maana uchawi ndio tunaweza

Unless hatutakaa tuwafikie wazungu maana wefika mbali sana
Hivyo waafrika tuache kurogana badala yake tufanyie maendeleo


Ila hata wazungu nao ni wachawi...Ukitaka kujua ni wachawi katika movies zao...wale wanachokiigiza wanamaanisha...
angalia : witches of east end seasons zake, pia haya mamovie ya mavampire ni mauchawi yao hayo...
Wachina pia nao ni wachawi saaanaa...mtu anakimbia angani tuu na kupigana angani.
Wahindi nao ni wachawi cheki movies zao hizi za tamthilia sio za Actions...utaona uchawi wao mbaya hasa..
 
chuma ulete kiwe kinatumwa bank ya dunia tuanzie hapo
 
Wa Africa tunajua majungu na unafkii tu ayo tuwaachiee wenzetu
 
Back
Top Bottom