Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,585
- 1,546
Wazo nzuri... ila wenzetu wazungu uchawi hawajaanza leo wala jana. tokea miaka 5000 kabla Yesu ajazaliwa walikua walishaanza uchawi.Huko mabara mengine kuna wachawi kushinda walio Africa.Tuseme kungekuwa na mashindano ya uchawi Olympic hata medal ya shaba tusingepata,,hata ngono starehe yetu bado tuko nyuma,,,sisi tuna safari ndefu bado.
Habarini wakubwa na wadogo. !
Ebu leo tuzungumzie kuhusu utofauti wa maisha katika bara la Africa na mabara ya ulaya tumekua tukishuhudia mambo makubwa sana kutoka kwenye mataifa ya ulaya kuanzia karne ya 16 hivi ., ikiwemo swala zima la teknolojia
Kiukweli tusiwe wanafiki wenzetu wamefika mbali sana
Mfano wametengeneza vitu vikubwa sana mfano rocketi, ndege kubwa , mashine,maroboti ,mitambo mikubwa sana n k
Ambapo waafrica tunashindwa hata sindano tu
Naona ni bora na sisi waafrica tuendeleze kitu kinaitwa "Uchawi"
Binafsi sio mchawi ila uchawi wetu waafrica tukiutumia vizuri hata mabara mengine na sisi tusingeweza kua hapa tulipo
Mfano mchawi wa kiafrica anaweza kutengeneza usafiri
Kama.
Ungo ni kama Ndege ya mzungu
Kupanda fisi. Ni kama piki piki ya mzungu
N.k
Hivyo. Uchawi huu tungeutumia vizuri bila ya kurogana naamini tungekua tumepiga hatua kimaendeleo tena sana tu...!
maana uchawi ndio tunaweza
Unless hatutakaa tuwafikie wazungu maana wefika mbali sana
Hivyo waafrika tuache kurogana badala yake tufanyie maendeleo
Habarini wakubwa na wadogo. !
Ebu leo tuzungumzie kuhusu utofauti wa maisha katika bara la Africa na mabara ya ulaya tumekua tukishuhudia mambo makubwa sana kutoka kwenye mataifa ya ulaya kuanzia karne ya 16 hivi ., ikiwemo swala zima la teknolojia
Kiukweli tusiwe wanafiki wenzetu wamefika mbali sana
Mfano wametengeneza vitu vikubwa sana mfano rocketi, ndege kubwa , mashine,maroboti ,mitambo mikubwa sana n k
Ambapo waafrica tunashindwa hata sindano tu
Naona ni bora na sisi waafrica tuendeleze kitu kinaitwa "Uchawi"
Binafsi sio mchawi ila uchawi wetu waafrica tukiutumia vizuri hata mabara mengine na sisi tusingeweza kua hapa tulipo
Mfano mchawi wa kiafrica anaweza kutengeneza usafiri
Kama.
Ungo ni kama Ndege ya mzungu
Kupanda fisi. Ni kama piki piki ya mzungu
N.k
Hivyo. Uchawi huu tungeutumia vizuri bila ya kurogana naamini tungekua tumepiga hatua kimaendeleo tena sana tu...!
maana uchawi ndio tunaweza
Unless hatutakaa tuwafikie wazungu maana wefika mbali sana
Hivyo waafrika tuache kurogana badala yake tufanyie maendeleo