Kwanini waajiri wengi wanaamini vyeti?

Kwanini waajiri wengi wanaamini vyeti?

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Hasa shule hizi za watu binafsi wanaamini sana vyeti. Unaweza kuta mtu alimaliza form four akapata A's za physics na mathematics lakini akaamua kwenda kusoma HGL just kwa kupenda tu lakini siyo kwa kufeli. Ila unakuta labda uliamua kusoma sheria na huna ajira na baadae ukaamua uaply kufundisha hesabu shule flani na unaambiwa eti hujui hesabu kisa ulisoma hgl, hivi hiyo inakuwa ni akili kweli!!!!

Imagine una A halafu mtu aliyeenda kusoma PCM alikuwa na C ya hesabu O level lakini akajikongoja hivyohivyo ili tu ijulikane anajua hesabu.

Waajiri achaneni na vyeti siyo wote wanaosoma arts kwamba sayansi au mathematics hawajui ni matter of choice na interest tu.
 
Kiufupi hujui mathematics.

How come upate A ya mathematics then ukasome HGL, uko sawa kweli?

inamaana tuache mtu aliyesoma pcm ,chuo kasoma ualimu wa mathematics ,kaenda field kufundisha hesabu ,anajua kuandika scheme of work ,lesson plan ,nikuajiri wewe HGL ufundishe mathematics ,uko na akili wewe sawa sawa ...

HGL ,HGL ,afundishe hesabu oooh my God shittttt.

Kwa iyo ualimu ndio sehem ya kukimbilia eeh ,komaa na sheria ,vinginevyo kasomee ualimu ukaombe kazi ya ualimu ,hakuna ujanja ujanja ...
 
Kiufupi hujui mathematics ...

How come upate A ya mathematics then ukasome HGL ,uko sawa kweli...
Kwa hiyo leo nimeonekana sijui hesabu ila o level nina A. Badala ya kulaumu mfumo huu wa combimation ndo mbovu na wewe unaamini sijui hesabu. Kwa sabau ningeweza kusoma combinations zote au kuendelea na masomo yote ila mfumo ynakulimit uchukue matatu tu na mi preference yangu ilikuwa hgl japo nina A ya mathematics.
 
Hasa shule hizi za watu binafsi wanaamini sana vyeti. Unaweza kuta mtu alimaliza form four akapata A's za physics na mathematics lakini akaamua kwenda kusoma HGL just kwa kupenda tu lakini siyo kwa kufeli...
end qualificqtion yako ina determine professionalism yako. is not about ulifaulu hesabu.. hiyo ni too academic, na sio experience.
swali la kizushi.. unapataje A ya math na pysics halaf unakimbilia HGl?
 
Kiufupi hujui mathematics ...
..
Wapo wengi sana mfano mwingine ni Tundu lisu ana A kumi kwa masomo yote lakini aliamua kwenda kusoma hgl ilborou japo pcm alikuwa na A tatu. Je huyo utasema hajui physics au hesabu? Mwingine ni kabudi alikuwa na A zote lakini aliamua kwenda hkl.
 
end qualificqtion yako ina determine professionalism yako. is not about ulifaulu hesabu.. hiyo ni too academic, na sio experience.
swali la kizushi.. unapataje A ya math na pysics halaf unakimbilia HGl?
It is a mattet of priority. I prefered hgl to pcm thogh no impedment.
 
Hasa shule hizi za watu binafsi wanaamini sana vyeti. Unaweza kuta mtu alimaliza form four akapata A's za physics na mathematics lakini akaamua kwenda kusoma HGL just kwa kupenda tu lakini siyo kwa kufeli. Ila unakuta labda uliamua kusoma sheria na huna ajira na baadae ukaamua uaply kufundisha hesabu shule flani na unaambiwa eti hujui hesabu kisa ulisoma hgl, hivi hiyo inakuwa ni akili kweli!!!!

Imagine una A halafu mtu aliyeenda kusoma PCM alikuwa na C ya hesabu O level lakini akajikongoja hivyohivyo ili tu ijulikane anajua hesabu.

Waajiri achaneni na vyeti siyo wote wanaosoma arts kwamba sayansi au mathematics hawajui ni matter of choice na interest tu.

Umepata A ya Basic Mathematics hiyo ni kama 15% ya nini kinafundishwa A level ambayo ni PURE MATHEMATICS 100%

Wewe hujui hesabu tulia
 
Sheria pia zinawabana hao shule binafsi..wakaguzi hawatowaelewa kukuajiri HGL, sheria ufundishe Maths..usiwalaumu
 
end qualificqtion yako ina determine professionalism yako. is not about ulifaulu hesabu.. hiyo ni too academic, na sio experience.
swali la kizushi.. unapataje A ya math na pysics halaf unakimbilia HGl?
Shule nyingi za private zinazofaulisha huwa hawataki wa singemukubali kabisa asome HGL
Walionruhusu kusoma HGL akili hawana walitakiwa wamkatae
 
Kiufupi hujui mathematics.

How come upate A ya mathematics then ukasome HGL, uko sawa kweli?

inamaana tuache mtu aliyesoma pcm ,chuo kasoma ualimu wa mathematics ,kaenda field kufundisha hesabu ,anajua kuandika scheme of work ,lesson plan ,nikuajiri wewe HGL ufundishe mathematics ,uko na akili wewe sawa sawa ...

HGL ,HGL ,afundishe hesabu oooh my God shittttt.

Kwa iyo ualimu ndio sehem ya kukimbilia eeh ,komaa na sheria ,vinginevyo kasomee ualimu ukaombe kazi ya ualimu ,hakuna ujanja ujanja ...
Hahahaha, mkuu nimecheka sana, kiukweli haingii akilini upate A in mathematics, alafu ukasome HGL alafu na sheria alafu uje uombe kufundisha hesabu, ni heri hata aliyesoma Engineering anaweza kufundisha hesabu, wewe maanake hiyo A ulipata bahati mbaya, na wala hesabu huipendi na huwezi kufundisha kitu ambacho hukipendi
 
Kwa hiyo leo nimeonekana sijui hesabu ila o level nina A. Badala ya kulaumu mfumo huu wa combimation ndo mbovu na wewe unaamini sijui hesabu. Kwa sabau ningeweza kusoma combinations zote au kuendelea na masomo yote ila mfumo ynakulimit uchukue matatu tu na mi preference yangu ilikuwa hgl japo nina A ya mathematics.
Ndio tuache mtu aliyesoma PCM ,EGM ,PGM na chuo kasoma ualimu wa hesabu tukuajiri weww ....???????

Mbona unakaza ubongo kijana...

Hujui hesabu wewe ...

Na hio sheria pia inakusumbua ,yaani hujijui hata wewe unataka nini...

Umesoma HGL Leo unalilia uajiriwe kama mwalimu wa MATHEMATICS aiseeee wewe ni jipuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiufupi hujui mathematics.

How come upate A ya mathematics then ukasome HGL, uko sawa kweli?

inamaana tuache mtu aliyesoma pcm ,chuo kasoma ualimu wa mathematics ,kaenda field kufundisha hesabu ,anajua kuandika scheme of work ,lesson plan ,nikuajiri wewe HGL ufundishe mathematics ,uko na akili wewe sawa sawa ...

HGL ,HGL ,afundishe hesabu oooh my God shittttt.

Kwa iyo ualimu ndio sehem ya kukimbilia eeh ,komaa na sheria ,vinginevyo kasomee ualimu ukaombe kazi ya ualimu ,hakuna ujanja ujanja ...
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom