Wapenzi na wadau wa mpira wa miguu ni matarajio yangu mlifurahi mitangani ya UEFA CL jana usiku.Nimekuwa nikifuatilia sana waamuzi wetu wa mpira wa miguu Tanzania hivi karibuni au tangu zamani kutopata nafasi ya kuchecheza michezo ya kimataifa (mbali na hii ya CECAFA) na kushindwa kupata jibu.Tatizo nini?Waamuzi wa Tanzania hawateuliwi na CAF (achana na FIFA) kuchezesha michuano ya kimataifa iwe ya vilabu au ya mataifa.Nilikuwa naangalia hii michuano inayoendelea ya CAF kwa mfano mifano.
1.Yanga v Etoile-Daresalaam,waamuzi-MSUMBIJI-Kombe la shirikisho
2.Etoile vs Yanga (marudiano),Waamuzi-UGANDA
3.Sjouliba AC de Bamako vs Accra Hearts of OAK,CAF CL,waamuzi-BURUNDI
4.Orlando Pirate Vs C.Mounana,CAF CL,waamuzi-KENYA
5.As Kaloum v Usm Alger,CAF CL,waamuzi-SUDAN
6.TP Mazembe vs Stade Malien,CAF CL,waamuzi-ZAMBIA
7.Waamuzi kutoka RWANDA wanachezesha hii michuano ya kimataifa.
Tatizo la waamuzi kutoka Tanzania nini?,wanaweza kuwa wanachezesha labda sifahamu lakini siwaoni sana kama wa nchi jirani hizi za ukanda wetu.Tujadili
1.Yanga v Etoile-Daresalaam,waamuzi-MSUMBIJI-Kombe la shirikisho
2.Etoile vs Yanga (marudiano),Waamuzi-UGANDA
3.Sjouliba AC de Bamako vs Accra Hearts of OAK,CAF CL,waamuzi-BURUNDI
4.Orlando Pirate Vs C.Mounana,CAF CL,waamuzi-KENYA
5.As Kaloum v Usm Alger,CAF CL,waamuzi-SUDAN
6.TP Mazembe vs Stade Malien,CAF CL,waamuzi-ZAMBIA
7.Waamuzi kutoka RWANDA wanachezesha hii michuano ya kimataifa.
Tatizo la waamuzi kutoka Tanzania nini?,wanaweza kuwa wanachezesha labda sifahamu lakini siwaoni sana kama wa nchi jirani hizi za ukanda wetu.Tujadili