Kwanini Wabobezi wa siasa za CCM na wasomi wa falsafa Dkt. Bashiru Ally na Dkt. Wilson Mukama wamesahaulika haraka sana?

wakisaahaulika wewe binafsi huna unachofaidi
 
Kwa akili yako walisaidia nini nchi na PhD zao?
 
Mbona hujasema kitu kuhusu dr wako bashiru?!! Kwangu mimi huyu ni mfano hai wa wasomi wasio na maana katika taifa hili...
 
Mnaosema Wilson Mkama hakufanya kitu ccm hamna kumbukumbu nzuri. Mkama aliingia kipindi ccm iko hoi na ufisadi, Mkama akawambia majizi wote ndani ya chama wajivue magamba. Wakaona mmh, huyu atakiumiza chama hakuna msafi tutakwisha.
 
unatiwa na kijiti kirefu

bashiru kaingia ccm ikiwa inaingiza 2bn kwa mwaka


leo inaingiza 30bn kwa mwaka kama initiative zake

hilo hauwezi kuambiwa, maana mnapenda wanachekesha na kuongea sana jukwaani
30b za uporaji. Eti Channel ten nayo imekuwa mali ya CCM ?

Kudhulumu nako ni utendaji mzuri CCM
 
Not interested in the affairs of this moribund party oppressing the innocent people of this country as a strategy to enable it survive in power. Very useless post.
 
Sisi wengine tuliyaona zamani,

 
Mbona wewe umewakumbuka kwa Niaba ya Wanaccm wenzako
 
unatiwa na kijiti kirefu

bashiru kaingia ccm ikiwa inaingiza 2bn kwa mwaka


leo inaingiza 30bn kwa mwaka kama initiative zake

hilo hauwezi kuambiwa, maana mnapenda wanachekesha na kuongea sana jukwaani
Wewe nawe huna akili
Ccm inatumia hela za serikali kibabe
Hujui chochote
 
Uongo na ujinga uwa havidumu...

''You can fool some people sometimes but you can't fool all the people all the time''...Peter Tosh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…