Kwanini wabongo chombo cha mboga huwa kidogo kuliko cha ugali?

benaboy

Member
Joined
Oct 24, 2015
Posts
42
Reaction score
32
Kwanini wabongo chombo cha mboga huwa kidogo kuliko cha ugali?
 
Kwanini wabongo chombo cha mboga huwa kidogo kuliko cha ugali?
kwasababu wanakula ugali kuliko mboga, in the contrary, wazungu wanakula zaidi majanimajani, minyamya, samaki etc kuliko mawanga. kitu kingine, ujue wanga unanenepesha kuliko mboga, na kwa wabogo kunenepa ni afya wakati kwa wazungu kunenepa ni ugonjwa.
 
Kwanini Ugali uliwe na mboga? Kwanini isiwe ugali uliwe vile tu bila mboga??
 
Inasababishwa na expansion joint kuwa zinalegea kila wakati vyuma vikityt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…