Ray model
JF-Expert Member
- Jul 27, 2018
- 207
- 185
Hili swali nashindwaga kujijibu
Hivi kwanini wabongo kuna wengi sana ni wanafiki wakiwa nyusoni mwa watu lakini kwenye mioyo yao ni tofauti??
Huu unafiki wa sitaki( akiwa public na akiongea na wengine)
Nataka (ndani ya moyo wake na akiwa mwenyewe)
Why tusiwe wakweli?
Mnajua namna unafiki unavyotafuna jamii??
Kwanini usiwe real??
Hivi kwanini wabongo kuna wengi sana ni wanafiki wakiwa nyusoni mwa watu lakini kwenye mioyo yao ni tofauti??
Huu unafiki wa sitaki( akiwa public na akiongea na wengine)
Nataka (ndani ya moyo wake na akiwa mwenyewe)
Why tusiwe wakweli?
Mnajua namna unafiki unavyotafuna jamii??
Kwanini usiwe real??