Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Skuhiz tz inaongoza
Kwa mashoga yan kila
Kukicha,wanaongezeka

[Color= yellow]Triple A[/color]
sio TZ sema dar mkuu

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
HUYO JAMAA NAMJUA SANA very ambitious japo ana swag za kike japo hajathibitika kua shoga alimaliza pale tusiime

sent from my Nokia kidole juu (mshindi) using jamiiforums Mobile app
UNAMAANISHA HUYU NI KIJANA WA KIUME?
ah please!
na hili hips?
lips?
mikogo?
hiyo pochi kabeba!
hapana jamani!
 
Hivi sheria ngowi vp?

Huyu hapa....
images
 
ENH YARRABI !
TUPE NUSRA!
matumbo yanabeba haya!
DAH!
 
SHEMEJI UMESTUKA KAMA MIMI!
UUUUUUUUWIH mamake ana hali gani jamani!?NARUDIA KUITIZAMA HII PICHA TENA!
Shemeji Ngashoka!!

Kumbe unaweza kutongoza mtu asiye na K bila kujua

God forbid!!
 
Shemeji Ngashoka!!

Kumbe unaweza kutongoza mtu asiye na K bila kujua

God forbid!!
HAKYAMAMA!
huyu mi nikipanda nae kwenye daladala maskin bahati mbaya kakalia kiti kilicholoa ,namchomolea paketi ya PEDI!
YANI hakiii nimeumia moyo kwa ajili ya mamake!
nawaza unamwona mwanao anakua kwa mwonekano huo ,ilhali umemwita jina la kiume!
dah!
KAMA MZAZI NIMEUMIA KWA KWELI!
 
anatumia jina gani kwenye social network.....mende nikamchungulie na kuthibitisha ni KE au ME na kumpa ushauri
 
HAKYAMAMA!
huyu mi nikipanda nae kwenye daladala maskin bahati mbaya kakalia kiti kilicholoa ,namchomolea paketi ya PEDI!
YANI hakiii nimeumia moyo kwa ajili ya mamake!
nawaza unamwona mwanao anakua kwa mwonekano huo ,ilhali umemwita jina la kiume!
dah!
KAMA MZAZI NIMEUMIA KWA KWELI!
Hivi wa kumwonea huruma hapo ni mama yake au baba yake...

Saa nyingine namshukuru sana Mungu kwa kunipa watoto wa kike...

Kuwa na mtoto wa kiume wa dizaini hii naona ni kama laana...

Bora uzae taahira ujue moja
 
Nina mashaka na Martin Kadina, Sheria Ngowi, na vijana wengine tata wa hii industry.....kwa kweli nataka kufuga mmoja kati yao.
 
Back
Top Bottom