Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

KweliKwanza,
Huyu dogo mother yake katufundisha sana tuition miaka hiyooo nakumbuka wakati kadogo sana kalikuwa vizuri tuuh sasa nikaja kushangaa siku namuona UDSM pale kwa mwenendo na kampani aliyokuwa nayo nikabakiwa namshangao hadi leo ni yapi yalimsibu kufikia hapo.
 
Uyo kwenye picha ni mwanaume...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mamake ni mwalimu
OH YARRABI!
 
Yesu wangu....!!
ujue inauma!
TUMBO MIEZI TISA!
mikasi ile na nyuzi
unapokea katoto unakalinda kitovu,unampa jina unambatiza Frank,unakunywa mtori na kitawa,unanenenpa kama kungfu panda!
ONLY TO KUJA KUSHTUKA AMEKUWA FRIDA WA KIWANGO HIKI!
uuuuwih!
MUNGU ATUSAIDIE!
angeruhusu tu huyo pacha wake wa kike azaliwe,akamuacha huyu awe wa kiume jamani!
 
hiyo mkononi kipochi?
ona miguu alivoiweka kipoz!
lips
style ya nywele
ah ameniuma huyu kijana!
 
Hata akigegeduka huchukua upande wa kike!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh, Mungu atanisamehe kama ninamkufuru, ila huyu kuna baadhi ya wanawake hawamuingii kwa uzuri huo. Na nina uhakika kuna baadhi ya wanawake wakimuona tuu wanatamani wangepewa wao hiyo shape.
Mi kwa mara ya kwanza nimepata hamunya kugegeda shoga baada ya kuona huyo mdudu juu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mwanaume hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…