Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Naomba kuuliza hii ni kwanini hata miondoko ya jukwaani ni miondoko pendwa, ina maana mtu model mwanaume akitembea casual inatia dosari ulimwendwe? Naouliza tu ila najaribu kugoogle hapa kwa maelezo zaidi!
 
Huyo Rio ni nani wajamen?ebu tupieni picha tumjue huyo kijana asiyeshughulika
.
 
Naomba kuuliza hii ni kwanini hata miondoko ya jukwaani ni miondoko pendwa, ina maana mtu model mwanaume akitembea casual inatia dosari ulimwendwe? Naouliza tu ila najaribu kugoogle hapa kwa maelezo zaidi!

kwa wanaume mara nyingi ni casual tu mbona
sasa kuna mambo mawil
kuna models na desgners

desgners wanakuaga mashoga na wanaliwa na models wao chezea six pac
 

Naomba URl plz niichek
 
Kwa hiyo unamaanisha kwamba hao models wao si mashoga kwa sababu wanafira na siyo kufirwa?

Manake huwa sielewi kwa nini mwanaume anayemfira mwanaume mwenzie yeye asiwe shoga!

hapo ndo mwenyewe tafsiri yake imenishinda
 
Kwa hiyo unamaanisha kwamba hao models wao si mashoga kwa sababu wanafira na siyo kufirwa?

Manake huwa sielewi kwa nini mwanaume anayemfira mwanaume mwenzie yeye asiwe shoga!

kwa hiyo hata wanaowananii wake zao au wachumba sehemu ambayo si sahihi ni mashoga na hao??
 
Kwa hiyo unamaanisha kwamba hao models wao si mashoga kwa sababu wanafira na siyo kufirwa?

Manake huwa sielewi kwa nini mwanaume anayemfira mwanaume mwenzie yeye asiwe shoga!
Ushoga ni kuwekwa si kuweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…