Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Watu wengi ni wadau wa D & G ila sikujua kama ni mashoga!Na logo yao inakick!

Hahahaaa ndo hivyo.

Hata movie nyingi za Hollywood mashoga hushiriki kuzitengeneza.

Kwa hiyo kama unapenda kuangalia movie za Hollywood jua kuwa unaburudishwa na kazi walizoshiriki mashoga kuzitengeneza.

Na kama unatumia kompyuta jua kwamba kuna mashoga pia walishiriki katika kuzivumbua.

Ushawahi kumsikia Alan Turing?
 
Wacha upunguani wewe...

Gay ni mtu yoyote mwenye attraction ya zinaa na mtu wa jinsia yake..awe analiwa au aliwi..

Anayekula ana kuwa ana attraction na anyeliwa anakuwa ana attration...woooote ni mashogaaa....

Mnataka kuutokomeza ushoga angali mnakata matawi na mizizi mnsicha....Yani vidole juu ndo mnawaita mashoga..

Kwa taarifa yako wote ni mashoga...

ila mkuu embu nipe ukweli anayeliwa ANASIMAMISHA SOSEJI YAKE
 
Hahahaaa ndo hivyo.

Hata movie nyingi za Hollywood mashoga hushiriki kuzitengeneza.

Kwa hiyo kama unapenda kuangalia movie za Hollywood jua kuwa unaburudishwa na kazi walizoshiriki mashoga kuzitengeneza.

Na kama unatumia kompyuta jua kwamba kuna mashoga pia walishiriki katika kuzivumbua.

Ushawahi kumsikia Alan Turing?
prison break lol
 
Hahahaaa ndo hivyo.

Hata movie nyingi za Hollywood mashoga hushiriki kuzitengeneza.

Kwa hiyo kama unapenda kuangalia movie za Hollywood jua kuwa unaburudishwa na kazi walizoshiriki mashoga kuzitengeneza.

Na kama unatumia kompyuta jua kwamba kuna mashoga pia walishiriki katika kuzivumbua.

Ushawahi kumsikia Alan Turing?

Duh!Sasa kila tasnia imejamaa washoga,hata humu JF watakuwepo!
 
Ushaiona spartakas?yaan

ndio ila sikuiangalia kwa kujiachia maana nilikua bado naishi na wazaz kipindi inatoka hivyo sikuifaid vyema

na yenyewe ina mashoga mle ndani?

mmh hata za kichina frozen flower
 
ndio ila sikuiangalia kwa kujiachia maana nilikua bado naishi na wazaz kipindi inatoka hivyo sikuifaid vyema

na yenyewe ina mashoga mle ndani?

mmh hata za kichina frozen flower

Yaan mdada wa kufinyana,,,janaume lenyewe linaenda kufinywa na mwanaume mmh
 
Aisee huko ni kujitafutia kipigo tu. Ndo mambo gani sasa hayo ya kutiana vidole?

Usinambie ushamfanyia hivyo Msukuma wako.

Sijawahii na sitajaribu lakini kumchunguza huko si mpaka uone dalili za upunga kama anazo au anachafua boxer
Ukiona hivyo lazima uchunguzeee
Mbona kuna wanaofanywa madole wanasimulia kua wanafurahia
 
ila mkuu embu nipe ukweli anayeliwa ANASIMAMISHA SOSEJI YAKE

Dudu linabaki na kazi ya kutoa kojo tu!Ukiona soseji inasimama,huyo anakuwa JUNIOR MEMBER,hawajamuingizia mara nyingi.Ila kadri wanavyoendelea kumuwekea pipe,nae anaendelea kutoka meno kwenye joka lake.Mwisho wa siku linaacha kung'ata papuchi
 
Duh!Sasa kila tasnia imejamaa washoga,hata humu JF watakuwepo!

Ushoga upo tokea enzi na enzi na upo kwenye kila jamii.

Ila tunapenda kujitoa fahamu na kujifanya kana kwamba kwenye jamii zetu za Kiafrika ni jambo geni.

Na huwa siwaelewi wale wanaojifanya kuupinga kwa nguvu zote.

Wanaupinga halafu wanatumia vitu vilivyotengenezwa na hao hao mashoga.

Hahahaaaa bantu logic at its best!
 
ni shidaa sana

Dina umtie kidole mwanaume si anaweza akakurestisha in peace

Ukimtia ukiona anafurahia jua analiwa,lakini mwanaume kamili hawezi kukubali kabisaa ni kujitafutia kipigo
 
Sijawahii na sitajaribu lakini kumchunguza huko si mpaka uone dalili za upunga kama anazo au anachafua boxer
Ukiona hivyo lazima uchunguzeee
Mbona kuna wanaofanywa madole wanasimulia kua wanafurahia

Hahahaaa duuuh!

Kuna ambaye keshawahi kukusimulia kuwa alifurahia?
 
aisee nimeona video ya rio the stylst instagram akikata mauno uchi hata mimi sifui dafu kama siwezi kabisa
aiseee ni,estaajabu mchana wa leo
lakini najiuliza why s/he did that akarekodiwa kabisa

ila la mwisho kwa nini wanamitindo wakiume wengi ni magays??????
japo pia wako wa kike malesbo ila ya leo imenipa tafakuri kubwa

just nenda insta kwenye page ya usipojipanganitakupanga ujione maajabu ya dunia ya tanzania

pamo

masai dada mi nimeiona yaani nimejiskia vbaya mpaka naogopa ht kua na mtoto wa kiume
 
aisee nimeona video ya rio the stylst instagram akikata mauno uchi hata mimi sifui dafu kama siwezi kabisa
aiseee ni,estaajabu mchana wa leo
lakini najiuliza why s/he did that akarekodiwa kabisa

ila la mwisho kwa nini wanamitindo wakiume wengi ni magays??????
japo pia wako wa kike malesbo ila ya leo imenipa tafakuri kubwa

just nenda insta kwenye page ya usipojipanganitakupanga ujione maajabu ya dunia ya tanzania

pamo
Naanza kukubsliana na wewe. Hata mimi nlishawahi jiuluza hilo swali. Kwa mfano, yule mtangazaji wa kiume kipindi cha Nirvana Eatv,simuelewi kabisa
 
Back
Top Bottom