kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,975
- 2,370
Wewe ni mbishi by nature kama Matola naona niache hapo.Shoga ni yeyote ashirikiye mapenzi ya jinsia moja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mbishi by nature kama Matola naona niache hapo.Shoga ni yeyote ashirikiye mapenzi ya jinsia moja!
Hahahaaa duuuh!
Kuna ambaye keshawahi kukusimulia kuwa alifurahia?
Naanza kukubsliana na wewe. Hata mimi nlishawahi jiuluza hilo swali. Kwa mfano, yule mtangazaji wa kiume kipindi cha Nirvana Eatv,simuelewi kabisa
Ushoga upo tokea enzi na enzi na upo kwenye kila jamii.
Ila tunapenda kujitoa fahamu na kujifanya kana kwamba kwenye jamii zetu za Kiafrika ni jambo geni.
Na huwa siwaelewi wale wanaojifanya kuupinga kwa nguvu zote.
Wanaupinga halafu wanatumia vitu vilivyotengenezwa na hao hao mashoga.
Hahahaaaa bantu logic at its best!
Without data mama usiconclude. Ni wengi wanaume wanaweka bila kuwekwa. Wewe ni mwanamke wanaume wawajuaje? Ushoga ni kuingizwa na wala si kuingiza. Kama mwanaume anaingizwa hata aingize laki moja basi huyo shoga ila kama anapumlia watu kisogoni ila hawampumlii si shogaWeee si kweli kama alivyosema hapo NN, ,ukifanya mapenzi ya jinsia moja we ni shoga,,na hua wanapakuana tena umamfanya nae anakufanya,japo kuna wengine mashoga hua hawasimamishi wao wanafanywa tu
Without data mama usiconclude. Ni wengi wanaume wanaweka bila kuwekwa. Wewe ni mwanamke wanaume wawajuaje? Ushoga ni kuingizwa na wala si kuingiza. Kama mwanaume anaingizwa hata aingize laki moja basi huyo shoga ila kama anapumlia watu kisogoni ila hawampumlii si shoga
Ushoga ni kuliwa si kula!!!!ooooh aiseee
si wanasemaga ukiliwa huko mtandaoni huwezi kusimamisha
Ushoga ni kuliwa si kula!!!!
Dolce&Gabbana wana product nzuri ila sikujuaga ni mashoga
Anavyosemaga Fashoooooni
Kwani ushoga ni nini?
Mi nijuavyo shoga ni mtu anayefanya mapenzi na mtu wa jinsia yake.
Sasa mwanaume anayemfira mwanaume mwenzake yeye anakuwa hafanyi mapenzi?
Anayekuwa anafanya mapenzi ni mfirwaji peke yake?
Sielewi kabisa hii dhana ya baadhi ya watu kufikiri kwamba kumfira mwanaume mwenzako ni sifa nzuri (kwamba si ushoga) ila kufirwa tu ndo sifa mbaya (ushoga).
Mfiraji na mfirwaji wote ni mashoga kwa sababu wanashiriki katika mapenzi ya jinsia moja.
Huo ndo uelewa wangu.
Kwa hiyo tukisema tupige kura kuukubali au kuukataa,wewe utapiga ipi?
Kwani ushoga ni nini?
Mi nijuavyo shoga ni mtu anayefanya mapenzi na mtu wa jinsia yake.
Sasa mwanaume anayemfira mwanaume mwenzake yeye anakuwa hafanyi mapenzi?
Anayekuwa anafanya mapenzi ni mfirwaji peke yake?
Sielewi kabisa hii dhana ya baadhi ya watu kufikiri kwamba kumfira mwanaume mwenzako ni sifa nzuri (kwamba si ushoga) ila kufirwa tu ndo sifa mbaya (ushoga).
Mfiraji na mfirwaji wote ni mashoga kwa sababu wanashiriki katika mapenzi ya jinsia moja.
Huo ndo uelewa wangu.
mfiraji anaitwa basha
Afu muangalie lips zake anavyozibetua!Huwa nami namuangalia ila nakosa majibu
aisee nimeona video ya rio the stylst instagram akikata mauno uchi hata mimi sifui dafu kama siwezi kabisa
aiseee ni,estaajabu mchana wa leo
lakini najiuliza why s/he did that akarekodiwa kabisa
ila la mwisho kwa nini wanamitindo wakiume wengi ni magays??????
japo pia wako wa kike malesbo ila ya leo imenipa tafakuri kubwa
just nenda insta kwenye page ya usipojipanganitakupanga ujione maajabu ya dunia ya tanzania
pamo
mfiraji anaitwa basha au mende
Wife anapenda sana kipindi chake. Mi nikifika home natoa tena kama hakuna program nzuri kwingine ni bora niangalie muvi za kihindiAfu muangalie lips zake anavyozibetua!Huwa nami namuangalia ila nakosa majibu