Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Waliwe tu,watupunguzie foleni kwa warembo
Tatizo wanaiba waume za watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliwe tu,watupunguzie foleni kwa warembo
shoga ake wema lol
Tatizo wanaiba waume za watu
Mumeo 'akiibwa' na shoga basi ujue naye alikuwa shoga tu.
ni shida sana umeona alichopost kwenye page yake mambo ya kujifanya hajali
nimeona yaani mtihani kweli kua na mtoto wa hvyoo
Tatizo wanaiba waume za watu
Vitu vyao tutumie tu si wanaliwa wao
Alaaa! Mbona ni mashoga na wala hawajifichi.
Hata Michael Kors ni shoga. Gianni Versace alikuwa shoga. Na wengine wengi tu hao ma top designers ni mashoga.
Sasa utaacha kununua (kama unaweza) bidhaa za D&G kisa wao ni mashoga?
Mwenzangu mie sikujua ila products zao nitanunua tu wao ushoga wao haunihusu kabisa maana ndio life walioichagua wao
Mtanifanya nifungue acc huko insta napitwa maumbea kama hayaaa
Afadhali wewe kwa hilo huna unafiki.
Ntafungua soon
Mdau mmojakwa wanaume mara nyingi ni casual tu mbona
sasa kuna mambo mawil
kuna models na desgners
desgners wanakuaga mashoga na wanaliwa na models wao chezea six pac
Mwenzangu mie sikujua ila products zao nitanunua tu wao ushoga wao haunihusu kabisa maana ndio life walioichagua wao
my dear naomba uione jamani
aisee yule kaka basi aisee huko nyuma hamna kitu
Mmdau mmoja
kalike ulivyonijibu sasa sijui kafurahi six pac,kafulahi Models kufanya overtime kwa kuwaburudisha designer wao...Kuna hii tabia ambayo inakuja kwa kasi kwenye tasnia yetu ya Comics, huwa najiuliza usipoigiza kama mwanamke hutakubalika kwa mashabiki? Punde tu nilkuwa naangalia marudio Ze Comedy Channel Five kuna haka kavulana almaarufu mamaa Diana....ahhh Simo!
Mie mwenyewe sina acc huko ila natamani kuona hayo mauno
yule kadinda anajitia mjanja sana lakini watu wana faili lake tangu anasoma tosaNasikia hua wanashea mabwana