Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Ungepewa kanafwasi ungemchagua nani kumaliza naye week end hii?? Wa kulia au wa kushoto?? Maanake naona wote walitoka kwenda job. Kweli wazibua mitaro wana kazi
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata ukiwa mbunifu wa mavazi basi kuna mavazi hutakiwi kuvaa hata kama umevaa wewe,sasa hapo huyo jamaa wa kiume kavaa nini ?
Haya wadad wote hamjambo.
 
Hii imenichekesha sana na kunikumbusha kituko cha juzi kati hapa SA. Shoga aliyeolewa Somizi aliandaa sherehe kubwa na kualika mashoga mbalimbali akiwemo shoga matata wa Zambia aitwaye Kuni, sasa Kuni akiwa huko SA kumbe anampigia mahesabu Somizi kumnyanganya bwana yake[emoji23][emoji23] Kilichotokea Kuni anajua mwenyewe. Dunia uwanja wa fujo
 
Mtu anayeshabikia mambo ya mitindo huyo mtazame mara mbili...
Kuna yule jamaa anasema "Dhambiii za fasheoniiiiii" Yule hua ananitia wasiwasi
Yule naye ni bwabwa tu.
Mabwabwa huwa wanajulikana tu.
 
Da'Vinci,
😂😂😂😂 anaitwa Deogratius Kitama mbona mwana yuko vzr sema ilesauti ni mbembwe tu analeta
 
Ng'wanapagi, Kama Umeamua kusimulia si usimulie vitu vilivyo kamilika jamani.. Ndo nini kuachia njiani
 
Industry waliyopo ni ya kubadilika kila season na wao wameona wabadilike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…