Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Haijawahi kutokea ushoga kuonekana jambo la kawaida na sidhani kama itakuja kutokea.

Halafu ajabu kwenye ushoga tunawekewa watu maarufu wenye shughuli zao ila kwenye madawa ya kulevya wanawekwa wale mateja kabisa ili kuoneshwa athari za hayo madawa na sio watu maarufu wenye kula hayo madawa kwa miaka ila bado wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
 
Ni ngumu sana kwa watu hawa kutoboa kwenye kazi hizi za kuajiriwa private au public sector so wanachoweza kufanya ni kujiajiri. Na katika kujiajiri huko, wanapenda zile career ambazo wateja wao wengi watakuwa wanawake kwa sababu women dont judge them, infact tunakuwa nao poa tu!
 
Hawa designers wameteka soko duniani .nchi nyingi product zao zinatumiwa na ni gharama.na ukivaa unaonekana mjanja na una pesa.
 
Akili na mazingira unayo kabiliana nayo mara nyingi ndio Yana control chemical production kwenye mwili wako ikiwemo activation za dormant hormones,binadam yoyote ana hormones zote mbili ya kike na ya kiume,Ila moja inakuwa dominant kulingana na jinsia yake,mfano kama ni mwanaume hormones za kiume ndio Zita dominate za kike,na kinyume chake!

Kama kufanya kazi zinazokufanya u activate dormant hormones za kike mfano kukaa muda mwingi au kufanya shughuli za kike nk,kupakaa mafuta ya chemical ambayo yanaweza amsha hormones zilizo kufa! Ndio maana angalia hata wale washikaji wanauza vitambaa vya magauni,ukiwaangalia vizuri huwa wengi wanakuwa kama sio wanaume rijali,wengi wako weak
 
Aisee mimi pia nilikuwa namfahamu, mwenyewe alikuwa anapenda kuning'iniza mkoba wake begani sijui hata alisoma course gani ila nahisi alikuwa UDBS
hili li.senge limesoma udsm,naona limeamua kuingia kwenye ushoga mazima.
 
Aisee kwa bongo na appreciate sana kazi za sheria Ngowi huyu jamaa yuko vizuri na anajua nini anafanya
 
KweliKwanza,

Huyu kama mwanamke kabisa ni ngumu kwa tusiomjua kufahamu kama ni mwanaume aisee dunia hii
 
Back
Top Bottom