WE ACHA TU!
usicheke!
SI UNAONAGA LILE NYANYA PUZA LAKE?
Imethibitishwa: WEWE NI MUHENGA!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WE ACHA TU!
usicheke!
SI UNAONAGA LILE NYANYA PUZA LAKE?
ahahhahahahahhhaa au nikwambie kuwa ni bugalow kabisa!Imethibitishwa: WEWE NI MUHENGA!
Dahhh huyu nimeshindwa hata kuzungumza kwa kweli![]()
![]()
IQ standard
mama alikuwa single mom? tuanzie hapoHuyu dogo mother yake katufundisha sana tuition miaka hiyooo nakumbuka wakati kadogo sana kalikuwa vizuri tuuh sasa nikaja kushangaa siku namuona UDSM pale kwa mwenendo na kampani aliyokuwa nayo nikabakiwa namshangao hadi leo ni yapi yalimsibu kufikia hapo.
mama alikuwa single mom? tuanzie hapoHuyu dogo mother yake katufundisha sana tuition miaka hiyooo nakumbuka wakati kadogo sana kalikuwa vizuri tuuh sasa nikaja kushangaa siku namuona UDSM pale kwa mwenendo na kampani aliyokuwa nayo nikabakiwa namshangao hadi leo ni yapi yalimsibu kufikia hapo.
mama alikuwa single mom? tuanzie hapoHuyu dogo mother yake katufundisha sana tuition miaka hiyooo nakumbuka wakati kadogo sana kalikuwa vizuri tuuh sasa nikaja kushangaa siku namuona UDSM pale kwa mwenendo na kampani aliyokuwa nayo nikabakiwa namshangao hadi leo ni yapi yalimsibu kufikia hapo.
Nikivuta picha vizuri kwa mazingira ya maisha yao kwa miaka ile Sidhani kama mama yao alikuwa single mom.mama alikuwa single mom? tuanzie hapo
Isee hicho kishule cha pale tabata isee kumbe kuna watoto humuHuyu namfaham
Anaitwa frank
Tulisoma nae Tusiime
Tangia secondary anamambo ya kikekike2
Naskia adi baba ake alikataa kuwa anamfata
Tatizo ni ukiwa karibu yake ni kama uko karibu na mwanamke tu
Ata marafiki zake ni wanawake2
Ata ongea yake, tembea yake, smile yake, ata shep yake
Cjui ilikuwaje akawa mwanaume
IQ standard
Kama ndio huyu isee mbona anakimbiza baadhi ya madem hapa town![]()
![]()
IQ standard
Jamaa alidai alishawahi kuletewa jeans 4 na kuahidiwa kuvalishwa ili mradi ashiriki hako kamchezo,sikumchimba zaidi alifikia wapi.Kwahiyo huyo jamaa yako ni shoga pia?!
Hiyo tasnia nimepishana nayo sina wito na umri hauruhusungoja wenyewe waje ila kwa ushauri nawe kuwa model itakusaidia kudhibitisha claims zako