Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Mfano badala ya kutamka baba wao wanasema babaa. Mfano badala ya kutamka mama wanasema mamaa, dadaa au kakaa.
Wanataka watengeneza kiswahili chao?
Wanataka watengeneza kiswahili chao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unateseka babaaMfano badala ya kutamka baba wao wanasema babaa. Mfano badala ya kutamka mama wanasema mamaa, dadaa au kakaa.
Wanataka watengeneza kiswahili chao?
ni sawa na sisi wasukuma tunapenda kuongeza neno "ga" kwenye maneno mengi .... na kumalizia na "hiiii"Mfano badala ya kutamka baba wao wanasema babaa. Mfano badala ya kutamka mama wanasema mamaa, dadaa au kakaa.
Wanataka watengeneza kiswahili chao?
huwa napendaga nikitwa "babaaaa" na mtoto wa kichaga - yaani kama ni hela mfukoni ni kuzimwaga tuu.Chalii
Kadogoo
Kwa mromboo
Hii Jombii sio wachaga ni jamaa wa Arachuga aka Arusha!Ni Mzuka tu wa bange.
Ndio maana Mjomba wanaita JOMBII
Kwann na nyie wanyalukolo neno "nilikwenda" mnasema "nilikwendaga", "nilikula" mnasema "nilikulaga"?